kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,965
Nire thari tunefa,uthiituke!!!! kecha hethena kufa dunia teyeizue ikiUti kifwa nte chedi!!!!!
Mbinu gani mkuu shareAlinichanganya na mbinu zake
kila nikiona kiavatar chako nataman kugegedaKwani mimi nina anti virus troublemaker?
Wapare mmeanza kuteta sioNire thari tunefa,uthiituke!!!! kecha hethena kufa dunia teyeizue iki
Yaani mpk nimechokaaHivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Sio wote,lakini mapenzi ni jambo zuri nala maana.ITIFAKI IMEZINGATIWANa kweli wanaume wa bongo mnawaza ngono 24/7 tu yaani
Pole sana arif, inaonekana hujakwiva kabisa katika medani za kibaharia. K ya masafa marefu haiombwi kama unavyoagiza soda dukani. Totoo ilishaelewa kali kuliwa ilikuwa ni Pie ila umetanguliza njaa njaa, siku nyingine fanya kama huitaki...itakutaka wewe zaidi.Daah siamini kama umenikimbia hivyo, rudi basi.[emoji3]
Unataka wawe expensive ili watuumize wapenda vitonga[emoji16][emoji16]Mwanamle wa ajabu,unafunga safari toka mwanza to dar to meet a total stranger halafu unaleta uzi hapa eyi ana papara...shame on you
Wanawake siku hizi wamekua cheap jamani khaaa
Labda hukuelewa,Ghana Mwanza,karibu na kona ya BwiruYani wewe dada kwenye yako si ulisema uko Ghana na unaishi Ghana uko ndo makazi yako yaliko sasa imekuajebghafla umeahamia Mwanza au visa imeisha nini asee duuh kweli nimeamini JF NI konyo hasa hawa madada wa Jf yani mtu yuko kumbe mwanza alafu akanambi Mimi nitume nauli ya kumto Acra Ghana wazee mimi niliingia mitini asee ila wewe mdada nimekuupleciate wewe ni noma mno
Tuanzie hapo,walishakukubalia wangapi?aise, naona hata kuandika hajui halafu anajikweza hakuna mwanaume wa humu mwenye hadhi nae? demu halina shule kuandika halijui kazi kuuza K unabishana nalo la nini fanya kuipotezea mkuu.
Mademu wengi wa humu ni vichaa, malaya wamezalishwa hovyo stress zao wanakuja kumalizia kwa watu ambao wanawapa positive advices.
Narudia tena hakuna mwanamke wa humu atakataa iwapo utamtongoza na ukawa serious.
Asante katibuSio wote,lakini mapenzi ni jambo zuri nala maana.ITIFAKI IMEZINGATIWA
YetooUti kifwa nte chedi!!!!!
Nilikuambiaga utazimia jiraniNatamani nikuone ulivyo ni vile tu wewe geti kali.
Wiki ijayo naenda Kigali, tumefahamiana FB.....naona hujakua mkuu, au umeishayapitia na kuona kawaida!Ngoja nipite taratibu humu.... Hivi unaanzaje kutoka Mwanza mpaka DSM? Tena kwaajili ya kufahamiana na mtu? Nimewaza kwa sauti.... Karibu DSM kwa vibamia πππππ
Sijawahi kuzimia jirani nahisi nikizimia ice cream itakuwa imehusika.Nilikuambiaga utazimia jirani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijawahi kuzimia jirani nahisi nikizimia ice cream itakuwa imehusika.