Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Daah siamini kama umenikimbia hivyo, rudi basi.[emoji3]
Pole sana arif, inaonekana hujakwiva kabisa katika medani za kibaharia. K ya masafa marefu haiombwi kama unavyoagiza soda dukani. Totoo ilishaelewa kali kuliwa ilikuwa ni Pie ila umetanguliza njaa njaa, siku nyingine fanya kama huitaki...itakutaka wewe zaidi.

Lazma utumie mbinu za kiintelijensia dingii. We unasemaje unaomba mlale pamoja, hata chalii ya class Bee aezi fanya hio mbishe.
 
Mwanamle wa ajabu,unafunga safari toka mwanza to dar to meet a total stranger halafu unaleta uzi hapa eyi ana papara...shame on you

Wanawake siku hizi wamekua cheap jamani khaaa
Unataka wawe expensive ili watuumize wapenda vitonga[emoji16][emoji16]
 
Labda hukuelewa,Ghana Mwanza,karibu na kona ya Bwiru
 
Tuanzie hapo,walishakukubalia wangapi?
 
Ngoja nipite taratibu humu.... Hivi unaanzaje kutoka Mwanza mpaka DSM? Tena kwaajili ya kufahamiana na mtu? Nimewaza kwa sauti.... Karibu DSM kwa vibamia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wiki ijayo naenda Kigali, tumefahamiana FB.....naona hujakua mkuu, au umeishayapitia na kuona kawaida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…