Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Acha nao hao dada wanaokucheka na kukudhalilisha humu ndani

Kila mtu anasumbuliwa na stress zake za maisha akipata mnyonge basi anampumuzikia kweli kweli[emoji3]
Labda hukuelewa,Ghana Mwanza,karibu na kona ya Bwiru
 
Acha nao hao dada wanaokucheka na kukudhalilisha humu ndani

Kila mtu anasumbuliwa na stress zake za maisha akipata mnyonge basi anampumuzikia kweli kweli[emoji3]
Yani Kama yeye ndio wa kwanza kukutwa na tukio jamani
 
Yaani ulipiwe nauli toka mwanza ulipiwe na hotel then uje tu mtu akuone usoni? Wewe umekuwa tv au? Km ni mm nisingekuacha aisee, ulikutana na pimbi!
 
Haya machai mengine yamezidishwa tangawizi na pilipili
 
Kwani kati ya yote ninayoongeaga kuhusu wanaume kuna lolote la uongo? Hebu tuanzie hapo kwanza!
inawezekana wamekuumiza sana ktk mahusiano, au wameku singo maza?
 
Daaa that was dreadful

Kupima was very simple... very easy for quality assurance

Sijaona cha ajabu zaidi ya safety needs
kupima ni rahisi shida huwaga ni majibu kuyapokea
 
Inaoneka huko Mwanza unaliwa sana na wana, kama umeweza kutoka mwz to dar na humjui mtu, sipati picha kwa majirani hapo mtaani wanavo jishindia
Put respect on our names. Wadada Wa mwanza tunajiheshimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…