Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Ulitaka nifanyaje??naona mada zako nyingi humu zinawa attack wanaume tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka nifanyaje??naona mada zako nyingi humu zinawa attack wanaume tu
Sio wote,lakini mapenzi ni jambo zuri nala maana.ITIFAKI IMEZINGATIWA
Labda hukuelewa,Ghana Mwanza,karibu na kona ya Bwiru
Yani Kama yeye ndio wa kwanza kukutwa na tukio jamaniAcha nao hao dada wanaokucheka na kukudhalilisha humu ndani
Kila mtu anasumbuliwa na stress zake za maisha akipata mnyonge basi anampumuzikia kweli kweli[emoji3]
😂 😂 😂 😂 😂mtu akuone usoni?
Yaani ulipiwe nauli toka mwanza ulipiwe na hotel then uje tu mtu akuone usoni? Wewe umekuwa tv au? Km ni mm nisingekuacha aisee, ulikutana na pimbi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Wapare mmeanza kuteta sio
hahaahhahh, hongera kwa kujua kipare. hahahaahahYetoo
Anaachia mjambo wake pole pole.Rudi mwanza, wasalimie IgomaView attachment 1192354
inawezekana wamekuumiza sana ktk mahusiano, au wameku singo maza?Ulitaka nifanyaje??
Avachehahaahhahh, hongera kwa kujua kipare. hahahaahah
Unataka wawe expensive ili watuumize wapenda vitonga[emoji16][emoji16]
inawezekana wamekuumiza sana ktk mahusiano, au wameku singo maza?
tatizo lako una generalize, kuwa wanaume wote wapo hivyo which is not true..Kwani kati ya yote ninayoongeaga kuhusu wanaume kuna lolote la uongo? Hebu tuanzie hapo kwanza!
kupima ni rahisi shida huwaga ni majibu kuyapokeaDaaa that was dreadful
Kupima was very simple... very easy for quality assurance
Sijaona cha ajabu zaidi ya safety needs
Put respect on our names. Wadada Wa mwanza tunajiheshimu.Inaoneka huko Mwanza unaliwa sana na wana, kama umeweza kutoka mwz to dar na humjui mtu, sipati picha kwa majirani hapo mtaani wanavo jishindia
Pesa natafuta sana. lakini hakuna mtu anapenda kitu expensive.kitonga nataka sababu naletewaMwanaume unatakaje kitonga mkuu?? Tafuta pesa!!