Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Vipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.
Wasukuma wanatuma asee
 
Hahahha: atakuwa anasema uongo


Kitendo cha kupanda basi toka mwanza kuja dar inaonyesha hata kula amekula.hivi nawezaje kutoka mwanza kufwata me Dar mdada ninaye jiamini,kujipenda na mwenye samani big no. Sijui kizazi hiki kinaenda wapi! ezi zetu tunafwata eti.
 
Tumegundua kwamba ukitumiwa nauli na mtu akikubali kupima mnaweza elewana bei. cutelove
 
Ulisoma UDOM? jina nduza
 
Una jitambua sana.
 
Kwanza kabisanikupongeze kwa uaminifu, yaani anakutumia nauli dar to mwanza na wewe unakuja kweli hongera Sana kwa hilo.

Kuna mijanamke hata nauli ya kutoka mtaa mmoja Hadi mwingine yanakula tu then haiji.

Ningekuwa huyo Kaka ningepima na ningekukula vizuri Sana.

Sasa kaingia hasara za kisenge.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wapi nimegeneralize? Kama huwa unasoma comments zangu kwa makini na unazielewa huwa nasema wengi na siyo wote hasa wanaume wa bongo!

Mwanaume yeyote mwenye sifa yoyote kati ya hizi umalaya, uhuni, unyanyasaji, ukorofi, uvivu, ubahili, ushoga au ubasha ni garasa tu na ni wengi mno
tatizo lako una generalize, kuwa wanaume wote wapo hivyo which is not true..
 
Pesa natafuta sana. lakini hakuna mtu anapenda kitu expensive.kitonga nataka sababu naletewa
Wapo wanaume wengi tu wanaotaka wanawake wawe expensive and hard to get!

Kwahiyo mwanamke akijileta kwako akakupa hautamdharau si ndiyo?
 
Chekshia povu hilo kudadeki
 
Kuna picha ya mtoto wa kiswahili inaonekana ipo ukurusa upi wajameni ?
 
Yaani wanaume bwana nauli zenu zinawauma sana ila ninyi kwenye kupiga na kusepa mnadhani wanawake ndiyo hawaumii@MR KUO,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…