Wasukuma wanatuma aseeVipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.
Hahahha: atakuwa anasema uongo
Ulisoma UDOM? jina nduzaPumbafu sana
Mimi na wewe tunabiashara gani mpaka nikutumie nauli kutoka mwanza uje dsm kupiga story
Always umekubali kuja maana yake umeshakubali kuja kuwekwa sasa
Huu bado ni ushamba unaleta na sijui una umri gani ungekutana na Mimi huu Uzi ungekuwa wa aina nyingine kabisa
Umemjibu vema. Hebu njoo hapa kona ya bwiru, Diamond upate hata soda ya kopo (naku offer)Put respect on our names. Wadada Wa mwanza tunajiheshimu.
Una jitambua sana.Unaenda kwa mwanaume kufanya nini. Mwanaume anakuita kutoka Mwanza hadi Dar mje kupiga story.
Wanaume wenyewe hawa.
Whatsapp video call hamna!! Kama angetaka urafiki wa kawaida asingekuita toka Mwanza hadi Dar, urafiki wa kawaida huwa unaendelea hata kwenye simu tu.
NoUlisoma UDOM? jina nduza
Kwahiyo unastaafu au una hamisha biashara au unakuja na ID nyingine?Jamani,yamekuwa hayo!!! Nafunga pm kuanzia sasa na stadate na mwanaume wa jf
Okay pale Udom kuna dogo tulikua tunamuita nduza...yaani mjinga hajitambui
Umemjibu vema. Hebu njoo hapa kona ya bwiru, Diamond upate hata soda ya kopo (naku offer)
hahahahahah
Nina hakika yetu yaishia piem.Kama ulikuwa akilini kwangu auntie, wakati wanatafutana hawakutushirikisha. Yameharibika wanatushirikisha ili iweje labda!!!!
tatizo lako una generalize, kuwa wanaume wote wapo hivyo which is not true..
Wapo wanaume wengi tu wanaotaka wanawake wawe expensive and hard to get!Pesa natafuta sana. lakini hakuna mtu anapenda kitu expensive.kitonga nataka sababu naletewa
Chekshia povu hilo kudadekiPumbafu sana
Mimi na wewe tunabiashara gani mpaka nikutumie nauli kutoka mwanza uje dsm kupiga story
Always umekubali kuja maana yake umeshakubali kuja kuwekwa sasa
Huu bado ni ushamba unaleta na sijui una umri gani ungekutana na Mimi huu Uzi ungekuwa wa aina nyingine kabisa
Rudi mwanza, wasalimie IgomaView attachment 1192354
Ungejiongeza ona sasa nauli inaharibika buree mwisho wa siku tutapata thread za wale wanaume tuliotuma nauli madem wakaingia mitini