Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Umemkataa tena, hata mwanzoni uliwahi kuleta stori ya kumkataa mkaka aliyekuja kwako mlale naye badala yake ukamtafutia gesti.

Kila la kheri ufike salama huko Mwanza
 
Hivi nyie kila siku mnasema wanawake wa siku hizi warahisi sana.
Ukimtongoza anakupa na papuchi au sio nyie. Dada alikuwa tayari kujenga mahusiano mazuri na jamaa ambayo pengine yangekuwa imara na kuzaa matunda lakini jamaa tamaa zimem-cost.
Kwa hali hii utasema alikua na mahusiano mazuri? Hichi kilichotokea kakiandaa mwenyewe ni vile kakutana na kinyume na matarajio yake
 
Halafu siku nyengine utakuja kufa kizembe boya we mtu katoka kungonoka jana kachukua magonjwa huko ww leo unamwambia twende tukapime anakubali mnapima anaonekana mzima unaenda mpa nyama kwa nyama baada ya muda ndio utakuja elewa hiyo mivipimo yenu sio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…