Ndio nipo hivi mkuu kuna tatizo kwaniKweli ndo upo hivyo ulivyoandika?
Hawa hawakuwa serious kama ulivyosema.[emoji16] kweli wanaume tunapungua kwa kasi sana, hizi sio nafasi za kupoteza kabisa mbaya zaidi unapoteza kwa gharama
Asubuhi ndipo kuna bei nzuri maana inakuwa imechacha.Asubuhi hii...??lol
Ila ulijilipua yani mwanza to dar kusalimia? Si bora hyo hela ya nauli ungecheza kama messiHalafu utambakaje mtu humjui,akikuambukia magonjwa sijui utakuja kumlaumu nani
Mara ya mwisho kupanda basi kabla ya hiyo safari ya Dar ni lini?Halafu utambakaje mtu humjui,akikuambukia magonjwa sijui utakuja kumlaumu nani
Natamani siku melo ajisahau yeye pamoja na watenda kazi wake,halafu pm ziwe zinajipost zenyewe jomoniii😊Hivi na sie tungekuwa kila kinachotokea pm unaweka thread ingekuwaje jamani
Ebu wakue waache utoto huu ni zaidi ya utoto
Nitamfuata PM na mimi nitamuita huku na kisha nilete mrejesho.[emoji16] hajatujua wanaume vizuri
🤮🤮🤮Asubuhi ndipo kuna bei nzuri maana inakuwa imechacha.
Alafu atarud mwanza na nyuzi kama hiziHawa hawakuwa serious kama ulivyosema.
Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Eti kwa mfano ule msala wetu tukiweka hapa mbona Moderators wata-pin uzi wetu.Hivi na sie tungekuwa kila kinachotokea pm unaweka thread ingekuwaje jamani
Ebu wakue waache utoto huu ni zaidi ya utoto
Au ni baba yake wa kambo?Hahaha amsalimie huyo ni kaka akee
Kila la heri mkuu mrejesho muhimNitamfuata PM na mimi nitamuita huku na kisha nilete mrejesho.