Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Jichanganye ukutane na wajuba uone mziki wake..Safi sana, kama nawaona baadhi ya wanaume humu walivyovimba mwanaume mwenzao kushindwa na bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jichanganye ukutane na wajuba uone mziki wake..Safi sana, kama nawaona baadhi ya wanaume humu walivyovimba mwanaume mwenzao kushindwa na bado.
Nadhani umeelewa kwanini alistahili nlichokisema, hili ndilo lililompeleka dar sio salamHatari
Hahaha..kwamba anakula vichwa ili apate nauli ya kurudi kwao nyarugusu sio??Yupo Kimboka anatafuta nauli.
Vipi nami naruhusiwa kuja pm kwako lakini yetu yatakuwa siri sana
Nmechekanakuja pm, kumbe nawewe ni wa mteremko hivyo
Matumiz mabaya ya PM hayo zifungueniMe kwangu hamna PM tukutane hapahapa jamvini mkuu
Kwanini huyo mwanaume asingemwambia akiwa huko huko Mwz kuwa anataka aende Dar akalale naye?Sasa unaenda kufanyaje? Ni mdogo wako huyo useme utaenda kujadili nae namna ya kumlipia ada? Mambo mengine ni kujiongeza tu kidogo lasivyo mtaishia kutulaumu yani nigharamike uje unipigishe story
Matumiz mabaya ya PM hayo zifungueni
[emoji3][emoji3][emoji3] Hakuna namna maana beberu wake kasusa.Hahaha..kwamba anakula vichwa ili apate nauli ya kurudi kwao nyarugusu sio??
Kabisa mkuu yaani ni tatizo kubwaKwa comments hizi nimeamini wabongo ni walevi wa ngono.
Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Kula like yangu. [emoji736]And here we go again!!!
Mnashindwa nini kumaliza mambo yenu ya whatsapp huko huko whatsapp?
Kwani mlivyopeana namba mlitushirikisha?
Mafurushi.
Natamani siku melo ajisahau yeye pamoja na watenda kazi wake,halafu pm ziwe zinajipost zenyewe jomoniii[emoji4]
Ni fundisho kwa wale wanaume ambao unakuwa naye kwenye mahusiano bila kukwambia wanataka mahusiano ya kimapenziAnd here we go again!!!
Mnashindwa nini kumaliza mambo yenu ya whatsapp huko huko whatsapp?
Kwani mlivyopeana namba mlitushirikisha?
Mafurushi.
Utoto umewazidi auntieKama ulikuwa akilini kwangu auntie, wakati wanatafutana hawakutushirikisha. Yameharibika wanatushirikisha ili iweje labda!!!!
Kumbuka kuna tangazo lake la kuhtaji huduma kwahyo vitu vingne ni kujiongeza tu, binafsi nikituma nauli na akakubali kuja najua kabisa kajiongeza and vice versa is true asipokuja naelewa kashajua kitachotokea ila kitendo cha kuikubali nauli nakuja najua fika amefuata penzi. Mtoa bandiko hakuwa serious na kingemkuta kibaya asingekuwa na wakumlaum kabisaKwanini huyo mwanaume asingemwambia akiwa huko huko Mwz kuwa anataka aende Dar akalale naye?
Hapo hakuna cha kujiongeza wala nini kama kweli ninyi ni vidume si mngekuwa mnafunguka gharama hizo vipi?