Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Sasa unaenda kufanyaje? Ni mdogo wako huyo useme utaenda kujadili nae namna ya kumlipia ada? Mambo mengine ni kujiongeza tu kidogo lasivyo mtaishia kutulaumu yani nigharamike uje unipigishe story
Kwanini huyo mwanaume asingemwambia akiwa huko huko Mwz kuwa anataka aende Dar akalale naye?

Hapo hakuna cha kujiongeza wala nini kama kweli ninyi ni vidume si mngekuwa mnafunguka gharama hizo vipi?
 
Sasa wewe ulidhani unakuja kupiga picha huku dar?hukuwaza kabisa kuna kuliwa?hata kama ni mimi ningekataa kupima
 
And here we go again!!!

Mnashindwa nini kumaliza mambo yenu ya whatsapp huko huko whatsapp?
Kwani mlivyopeana namba mlitushirikisha?
Mafurushi.
Ni fundisho kwa wale wanaume ambao unakuwa naye kwenye mahusiano bila kukwambia wanataka mahusiano ya kimapenzi
 
Kwanini huyo mwanaume asingemwambia akiwa huko huko Mwz kuwa anataka aende Dar akalale naye?

Hapo hakuna cha kujiongeza wala nini kama kweli ninyi ni vidume si mngekuwa mnafunguka gharama hizo vipi?
Kumbuka kuna tangazo lake la kuhtaji huduma kwahyo vitu vingne ni kujiongeza tu, binafsi nikituma nauli na akakubali kuja najua kabisa kajiongeza and vice versa is true asipokuja naelewa kashajua kitachotokea ila kitendo cha kuikubali nauli nakuja najua fika amefuata penzi. Mtoa bandiko hakuwa serious na kingemkuta kibaya asingekuwa na wakumlaum kabisa
 
Back
Top Bottom