Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Alafu atarud mwanza na nyuzi kama hizi
Oooh basi nishaona tatizo.
 
Alafu atarud mwanza na nyuzi kama hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila watu jmn
 
Kwanini amekuwa na haraka kiasi hiki???
Yaan kutoka Mwanza to Dar bado tu hakuwa ameamini kwamba uko tayari...

Kwa mbinu hizo hizo alizokushawishi hadi umefunga safari kwa ajili yake kuja Dar, alitakiwa azitumie kuhakikisha unamuamini zaidi ya ulivyokuwa unamwamini mwanzo, halaf kiulaini kabisa baada ya kujimegea vya kutosha angekuwa shujaa wako....
 
Kwa hali hii utasema alikua na mahusiano mazuri? Hichi kilichotokea kakiandaa mwenyewe ni vile kakutana na kinyume na matarajio yake
Hatari
 
Back
Top Bottom