Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Sema kama umetumiwa nauli kutoka mwanza na ukaja dsm kwa mtu ambae humjui na kuonana nae bas nimeenza kuamin wasukuma waaminifu sana sema hkna namna kama alizngua kupima bas wew rud mwanza@cutelove,
 
[emoji38][emoji38][emoji38] na hata tukinyimwaga tunasema tumekula ila ukweli ndani kwa ndani

🤣🤣🤣ukweli mnaumia kwasababu hamjaonja
Ni kama wanawake wanaita vibamia baada tu ya kuachana [emoji28][emoji28][emoji28]
Vijana mnanipa raha sana
 
Kama hii story yako ni ya kweli,basi nakushauri usirudie tena kusafiri toka huko kote hadi huku kwa ajili ya kuja kupiga story, nakwambia usirudie tena utato...mbwa,utakojolewa hata kama hutaki ,nakuonya usirudie tena na usijione wewe ni mjanja nakwambia utatomb....wa ,Pima na hao unaoishi nao huko ili myajenge yenu maisha kwa raha na amani
 
Ahaaa kumbe mtoa mada anatoka mwanza ,,hyo kanda n hamna kitu ,,
Alafu huyo lengo lake ni kufika dar tu hana lolote
Pia ushamba tu ndo umemfanya aje dar
Tatu inawezekana pia ni malya tu huwezi tumiawa nauli kutoka mwanza to dar bila sababu ya maana
 
Kwahiyo unasafiri toka mwanza kuja dar umuone mtu?huko whtsap hamkutumiana picha?

Ww ulikuwa tayari kutoa papa baada ya cku ngap tangu ufike dar?

Ndio maana siku hizi hata mtu akija PM nashindwa kuongea vzr ID nyingi zipo kwa ajili ya kuchorana tu
Mimi ni mara chache sana kujibu pm za watu yaani moja kati ya 10 sio dharau ila michoreshano ya kipumbavu
 
Sasa ww ulitaka usafiri 900km uende kumsalimie tu?..hamna haja ya kumfuata mtu wa jinsia tofauti umbali huo km huna hisia nae la sivyo inakuwa ni njaa tu.

Mtakuja kunyongwa
Alisafiri kilometa 900 kwenda kula

Sio ? 😆
 
Vipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.
Yaani huyu bibie muaminifu sana aisee..
 
Back
Top Bottom