Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Kwanini unapenda kumwaga mtama kiduchu kwenye kuku wengi wakati nimekuambia itakuwa siri nzitoMe kwangu hamna PM tukutane hapahapa jamvini mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unapenda kumwaga mtama kiduchu kwenye kuku wengi wakati nimekuambia itakuwa siri nzitoMe kwangu hamna PM tukutane hapahapa jamvini mkuu
JF ina malaya sana zaidi ya kimboka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimefurahi kwasababu bidada kasimamia msimamo wake, jamaa aliamini lazima amkule. Wakati mwingine mtu unataka urafiki lakini mwenzako anawaza ngono tu. Uchumba mzuri unaanzia kwanza kwenye urafiki sio kukurupuka kubanduana!
Hivi wanaume mbona mnatakaga mshinde ninyi tu kwenye kila kitu?
Kwa mwanamke anajielewa. Ukimfanyia hivo basi 30 years inakuhusu.Wanawake/wanaume wa kuweka mambo yao ya faragha hadharani wengi wao huwa hawajitambui.
Umekutana na kichwa maji ila ningekuwa mimi ningekubaka na usingenipeleka popote pale.
Na kwa mbakaji anaejielewa inakuwaje?Kwa mwanamke anajielewa. Ukimfanyia hivo basi 30 years inakuhusu.
Alimwambia tangu mwanzo no kwichikwichi jamaa mwenyewe alikubali, kwanini aje abadilike baadaeKwa hiyo umbali wote huo aliosafiri mleta Mada ilikuwa ni kwa ajiri ya urafiki tu?
Kwahiyo wewe ndio una hivyo vitu Tz mwenyewe? Acha ushamba.Kwa hiyo unakuja kwangu kushangaa soboufer na TV ama?
Ahahah acha ku pretend weye
Ehehee naona Huu umewapa furahaa Sana kwa kumliza huyu mwanaume wa dar?
Hivi ingekuwa mwanaume kaanzisha uzi wa kusema kuwa kapiga demu na kusepa au kazalisha demu na kuacha mngeongea yote haya? Mngesema kuwa huyo mwanaume naye kafanya uhuni na ushamba kwa mwanamke?
Naomba tuanzie kwenye urafiki, unitembelee huku kijijini.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimefurahi kwasababu bidada kasimamia msimamo wake, jamaa aliamini lazima amkule. Wakati mwingine mtu unataka urafiki lakini mwenzako anawaza ngono tu. Uchumba mzuri unaanzia kwanza kwenye urafiki sio kukurupuka kubanduana!
Lakini si alisema hayuko tayari kwanza hadi wapeana muda kidogo na wapime? Mtoa mada siyo kwamba alikuwa hataki ila huyo kaka ndiyo alileta papara hadi mtoa mada akahisi vibaya
[emoji16][emoji16][emoji16] mambo ya binadam hayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukweli mnaumia kwasababu hamjaonja
Ni kama wanawake wanaita vibamia baada tu ya kuachana [emoji28][emoji28][emoji28]
Vijana mnanipa raha sana
Tulia mama, tatizo umejaa gesi bila hata kunielewa! Kwenye comment yako umesema "wanaume wanadhani ukishaenda kwake ndio umeshamkubalia"Kwahiyo wewe ndio una hivyo vitu Tz mwenyewe? Acha ushamba.
Vipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.
Haina tatizo, we tuma nauli ya kuja na ya kurudi...usisahau na ya kutoleaNaomba tuanzie kwenye urafiki, unitembelee huku kijijini.
Duuh!! wacha wee basi hongereni kwa ushindi.Ndiyo kila siku wanaume huwa ndiyo mnashinda kwenye kila kitu na wanawake tunapotezea ila ikitokea mara chache wanawake wanashinda wanaume mnakuja juu mnasahau kwamba mmeshashinda vya kutosha