Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Ndiyo kwani haujui kuwa bongo mapenzi ni mashindano kati ya wanaume na wanawake? Maana wanaume si ndiyo mnapendaga mashindano kwenye mapenzi eti ili tu msionekane wajinga wanawake wakiwakosea kidogo tu mnataka kuwalipizia kwa kisingizio cha kwamba mkiwasamehe mtaonekana mafala kwenye jamii

Kwahiyo lazima mlipize kwa namna yoyote ile mwanaume akitendwa na mwanamke mmoja utamsikia anasema "kuanzia leo siwaamini tena wanawake wote kasoro mama yangu tu yaani nitakuwa napiga na kusepa au nazalisha na kuacha tu" sasa hayo kama siyo mashindano ni nini? Yaani kwa wanaume wengi wa bongo mapenzi ni vita
Duuh!! wacha wee basi hongereni kwa ushindi.

Extrovert njoo utoe hongera kwa Marianah na kambi yake baada ya kutugaragaza mabaharia.
 
cutelove, Sawa ila rudisha nauli ya watu huo ni utapeli lkn nauli ya dar mpk mwanza na zakutumia njian mtu hata humjui tena upo dar kwenye wanawake wa kutoka pande zote wapo hapo lkn huwaon utoe laki kwa mtu wa mwanza cc wanaume mida mingine cjui tunarongwa na nani dar
 
Ndiyo kila siku wanaume huwa ndiyo mnashinda kwenye kila kitu na wanawake tunapotezea ila ikitokea mara chache wanawake wanashinda wanaume mnakuja juu mnasahau kwamba mmeshashinda vya kutosha
Hakuna aliekuja juu sisi tunahoji uhalali wa kauli. Mleta mada kuna kitu ameficha
 
Wanaume mna hasira na huu uzi
Aisee hivi watu wa aina hii wapo, mi ngekulipia chumba ungelala, usiku ningekuomba twende nikakuonyeshe jiji mitaa ya Masaki, ningekupiga savvana kadhaa zile huwa zinaenda chiini mpja kwa moja najua ungelowa. Mida ya saa nane ningekurudisha hotel na ningekudinya bila hata kukuomba idiot wewe.
 
Hakuna aliekuja juu sisi tunahoji uhalali wa kauli. Mleta mada kuna kitu ameficha
Sema wewe ndiyo unahoji uhalali wa kauli nina uhakika haujasoma na hauwezi kusoma comments zote za wanaume wenzio kwenye huu uzi tuulize sisi tulioanza na huu uzi tangu mwanzo kuna wanaume wenzio wamekuja juu na hoja za kipumbavu na mapovu juu
 
M
Kwahiyo unasafiri toka mwanza kuja dar umuone mtu?huko whtsap hamkutumiana picha?

Ww ulikuwa tayari kutoa papa baada ya cku ngap tangu ufike dar?

Ndio maana siku hizi hata mtu akija PM nashindwa kuongea vzr ID nyingi zipo kwa ajili ya kuchorana tu
Mk huyu Alisha jaa sema Nate chalii papara zimemkosesha papa.
 
nashindwa kuelewa kama ndio mko cheap kias hicho au maana yake nn??
Mtu anakutoaje mwanza kuja na hamfahamiani??
Hukuona kama yy labda ndio akufuayte mwanza kama anajali??
Ni ww ulihitaji kumfaham zaid au yy ndio alikua na haja hiyo??
No way my friend.
 
Ukifika Mwanza nitafute nikurudishie nauli yako Dar to Mwanza.
Pole na uchovu wa safari!
 
cutelove,

Hebu acha kudili na wababaishaji hao. Mimi nakupa ahadi tunaenda kupima tena wewe hata hauna ulazima nitapima mimi tu. wewe utakavokua mimi nipo tayari.
 
Mwanamle wa ajabu,unafunga safari toka mwanza to dar to meet a total stranger halafu unaleta uzi hapa eyi ana papara...shame on you

Wanawake siku hizi wamekua cheap jamani khaaa@cutelove,
 
Mwanamle wa ajabu,unafunga safari toka mwanza to dar to meet a total stranger halafu unaleta uzi hapa eyi ana papara...shame on you

Wanawake siku hizi wamekua cheap jamani khaaa
Hujakosea ila no comment
 
Back
Top Bottom