Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
That is my secret
just before kuolewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
just before kuolewa.
Huu utafiti wako umetumia sample size gani kiongoziYaani hadi ninyi wanaume leo mnasema kwenye ngono ni 50/50? Kama ingekuwa hivyo jiulizeni ni kwanini wanaume ndiyo mnataka sana ngono kuliko wanawake?
Huo utafiti au uhalisia??Huu utafiti wako umetumia sample size gani kiongozi
Utoto uliopitiliza.Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Sio yaleyale,nikiwa nao halafu sijui ni heri kuliko nipime nikutwe nao
Kukutwa mgonjwa ndio chanzo cha stress na mazaga zaga mengine ya kuumwa kweli yanaanza
Wadada ni walalamishi Sana aisee.
Kitu ni 50/50 lakini bado wanataka Nini sijui.
Sijui mkweli nani?Utoto uliopitiliza.
Yaweza kua Chai pia, humu Kuna vituko vingi.
Mmmm
Utaanza dawa mapema
Hutaumwa magonjwa ya ajabuajabu...hutakonda
Hao walikuwa wanaume wa zamani,Yaani hadi ninyi wanaume leo mnasema kwenye ngono ni 50/50? Kama ingekuwa hivyo jiulizeni ni kwanini wanaume ndiyo mnataka sana ngono kuliko wanawake?
Hao walikuwa wanaume wa zamani,
Wanaume wasasa hawataki ngono maana wengi wao hawana nguvu za kiume kisawa sawa
aiseeKwa kweli hata mimi natamani nipate mwanaume wa aina hiyo
Atakuwa mgonjwa tu huyoHaraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Niniaisee
hupendi mwanaume mwenye libido ?Nini
hupendi mwanaume mwenye libido ?
ndio maana basi, naona unafurahia ungezeko la wanaume wa KinoKabisa
Hicho ndiyo ulichoweza kusemaChekshia povu hilo kudadeki
Kwa hiyo ndiyo umeni compare bobOkay pale Udom kuna dogo tulikua tunamuita nduza...yaani mjinga hajitambui
Hapana kaka...nime kumbuka tuu mbali.Kwa hiyo ndiyo umeni compare bob