Wewe mbovu kwenye SEX! Unajua hilo?

Wewe mbovu kwenye SEX! Unajua hilo?

ukiona umenenpa mwili sana jua unaharibika, lazima horones zitazidi na mwishowe chemchem. pia kipimo siyo chupi tu hata kitandani pia. ukiona umelowanisah basi ujue wewe chemchem

teh teh teh. najiunga jimu kesho nisije nenepa.
 
Sijawahi kuona mwanaume jasiri wa kuelezea jinsi alivyo na elements za kike kama wewe. (sorry to say this). Hapa unanitaka nilinganishe mapenzi na siasa?

Kweli unataka kuniambia tukiwa na akili zetu timamu tuamini kuwa SEX is the most determinant factor to our betterment as individuals so as the nation! Mimi nafikiri ni siasa ndio inadetermine mambo yote ndani ya nchi.

Lakini acha niheshimu maadhimio yako, endeleeni kuzungumzia sehemu zenu za siri na namna mnavyosalitiana huku ukipongezana na hawa wanawake manungayembe wanaojiweka biiiize siku nzima kuzungumzia sex ilimradi tu wapate watu wa kuwatongoza. Ila nikusihi kuwa, kama mwanaume, siasa ya nchi haikwepeki na kuikwepa ni kukwepa maisha yenyewe.

"Love is the whole history of a woman's life, it is but an episode in a man's. "
Madame de Stael

Mtoto wa kiume anayeshabikia mazungumzo ya ngono tuuu mchana kutwa ni dalili za kusumbuliwa na balehe, hamna lingine. Na wa kike ni uhuni tu wa kutafuta watu wa kumtongoza. Matured men have a lot to do more than talking about their penis and how someone got hurt after been cheated by her girl lover.

Excrement of the clan!

Mkuu kama siasa ni dili kwako kajikite tuu jukwaa la siasa. Kunakufaa zaidi kule.
Ndio maana nchi imekwisha kwa sababu watu kama nyie mnadhani siasa ni kila kitu kwenye maisha.
Issue kidogo tuu mnaifanya ni ya kisiasa.
Halafu umejuaje mie mtoto wa kiume?
Huoni kama tayari unanijadili kisiasa?
 
Mkuu kama siasa ni dili kwako kajikite tuu jukwaa la siasa. Kunakufaa zaidi kule.
Ndio maana nchi imekwisha kwa sababu watu kama nyie mnadhani siasa ni kila kitu kwenye maisha.
Issue kidogo tuu mnaifanya ni ya kisiasa.
Halafu umejuaje mie mtoto wa kiume?
Huoni kama tayari unanijadili kisiasa?

EMT huyo atawaharibia siku!...kuna watu humu wanajidai wako serious sana...wanafikiria wako pale kwake anaongoza mke na watoto wake...bure kabisa!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
EMT

Mambo
achana naye, asikutie shombo ya feri.

Mie huwa nawaona wanajifanya 'virgins in a maternity ward'

Mkuu kama siasa ni dili kwako kajikite tuu jukwaa la siasa. Kunakufaa zaidi kule.
Ndio maana nchi imekwisha kwa sababu watu kama nyie mnadhani siasa ni kila kitu kwenye maisha.
Issue kidogo tuu mnaifanya ni ya kisiasa.
Halafu umejuaje mie mtoto wa kiume?
Huoni kama tayari unanijadili kisiasa?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Mi huwa najijua kabisa kuwa kuna seasons nakuwa mbovu sana kwenye hii sanaa, hasa ninapokuwa bise sana na majukumu. Katika hizi season, sithubutu hata kutongoza, maana hata bibi kizee ataning'ong'a. But kuna seasons (ninapokuwa loose na kuwa na mda wa kuattend jim), nakuwa fit in such a way dem mmoja hanitoshelezi kwa siku...
 
Back
Top Bottom