Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili jina duu😁😁😁
ngoja tumuulize...Ili jina duu😁😁😁
ndio mkuu ngoja alete kisa cha hili jinangoja tumuulize...
eti mkuu Naantombe Mushi,
kuna kisa gani nyuma ya hili jina au ulijifikiria nini kujiita hivyo, tunaomba kufahamu...
mkuu Jana Ulirudi Usikundio mkuu ngoja alete kisa cha hili jina
Aisee kweli😂😂😂😂mkuu Jana Ulirudi Usiku
na miminimkulimaakachekasana tunaombeni pia kufahamu kisa au sababu ya kujiiita hio ID, kwa maana kila mtu akiona hizi ID hatuna mbavu...
Sikuiona hii BAK 😍😍On top of that financial services is well educated.
Hujamiss Page 94?
Not now.Hujamiss Page 94?
Nilikuambia toa kufuli!. Niingiepo.
Niko na ID ya zamani
Nini[emoji848]
Hahahahaa Biny? Hata title ya Uzi hujaona?Nini[emoji848]
Mie nimekutana na notification ya kutajwa tu mie nishapigwa tukio jamiiforum hata siamini mtu ndo maana sipo kama zamani hawa wanaokuja na id mtu huijui unawaza kuwa ni mgeni kumbe shushushu mafala sanaaa.Hahahahaa Biny? Hata title ya Uzi hujaona?
Ningeshangaa sana kama Mke wangu financial services asingetajwa.Kwangu mimi user name zinazonivyutia ni Mzee Mwanakijiji @ financial servise Chief mkwawa @bak. Je wewe mdau mwezangu ni user name gani inayokuvutia
😂😂 haya banaNingeshangaa sana kama Mke wangu financial services asingetajwa.