Wewe Mtumishi wa serikali au sekta binafsi ......

Mimi ni jobless,baada ya kutafuta kazi sana na Sasa kazi yangu imekua kutafuta kazi,

Naona sasahv nianze kutafuta mume,atakua ananilipa kwa mwezi kwasababu nitampikia,namfulia,namzalia watoto,na vitu vingine vingi πŸ₯°
Weka tangazo
 
Vipi kimetokea nini tena huko Tanganyika? Watumishi wa umma na binafsi wanakubania kwenye kuomba kazi za muda za uboreshaji daftari la mpigakura?
 
Watumishi wa umma hasa walimu sio poa kuwabania majobless kwenye daftar la mpiga kura si mngewaachia tu ili na wao wapate chochote kitu kupunguza thread ka izi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…