Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
- Thread starter
-
- #21
Weka tangazoMimi ni jobless,baada ya kutafuta kazi sana na Sasa kazi yangu imekua kutafuta kazi,
Naona sasahv nianze kutafuta mume,atakua ananilipa kwa mwezi kwasababu nitampikia,namfulia,namzalia watoto,na vitu vingine vingi π₯°
ππππππππManinaDaaah tatizo wee bado ujawa...
Ila ..... Au basiπππππ
Unyama mwingiππAseeeh nlkuwa nmejiweka kiofs flani kufanya shoo sasa kimeumana na sina ujanja leo n week ya 3 sina ramani mjini wala hela kwenda kula home naona sio unyama kbs
U handsome wangu nao umekuwa nongwa
Una uhakika?Nimefatilia nyuzi zako nimegundua wewe ndo mwenye matatizo..!
Anakaaje?Jobless hakai namna hiyo
πππππππππ Ooooooh ohaaaaaaahhhhππππππππManina
Kusemaje kwani πππππππππππππππManina
Ndio bro, ni matumizi mabaya ya uhendisamu......U handsome wangu nao umekuwa nongwa
Tageti ni daslamu kutuwinda mishangazi.....πππ Shida anakaa Dar. Light skin zinaonekanaga mayaiβ¦Atoke huko Dar aje mkoani tumpe madeal