Wewe mwanamke kuwa na huruma kwa mumeo

Roho mbaya haikusaidii pia acha kumshobokea insider kule kwenye ule uongo wake. Utakuja fanywa vibaya kama yule mwanafunzi wa Dr. Yahaya former RC wa Geita πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜πŸ˜†πŸ˜…πŸ€£
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Boss sasa ndo bado unayo moyoni hadi umeyaleta huku?
Boss unafeli sana
Ungeniambia kule kule kwa INSIDER MAN
 
"Wakristo tafuteni mfumo wa talaka."

πŸ‘†πŸ‘†
Kwamba Wakristo hawana talaka?

Ndoa yeyote iliyofungwa kanisani ama msikitini inavunjika kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971.

Kwa mujibu sheriq hiyo, mahakama ndicho chombo chenye mamlaka ya kuvunja ndoa, na siyo kanisa wala msikiti.
 
Ulikuwa na haraka ya kuwatupia lawama wanawake hadi hujaeleweka. Tulia kama kuachwa ushaachwa, haya tuelezee kinagaubaga bila kuwa bias, kipi kimekusibu?
Duh hata wewe☺️
 
Pole sana
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…