Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Tungaraza aisee apumzike kwa amani.
Wanawake wa siku hizi MASHETANI tu.
Mmejawa na ROHO MBAYA ZA TAMAA.
Je yule jamaa aliyeuliwa na mkewe Morogoro kisa bwana wake bodaboda amemkosea nini mkewe!?
Wanawake mmejaa tamaa sana na hizi tamaa zitawa back stab siku moja.