Wewe mwanamke kuwa na huruma kwa mumeo

Wewe mwanamke kuwa na huruma kwa mumeo

Ni mpaka maji waite mma k zinawanyolosa kisawasawa mwingine jana kamwagwa ubongo, hatujajinyoosha vizuri nara paap muheshimiwa katumbuka mwingine huyu kashakuwa chizi fresh na wakizubaa ndo imetoka hiyo
Tatizo simu hana, ili niwatafute hata ndugu zake nijue wanamsaidia vipi, nataka nizame facebook nichague hata wadau 10 lengo nipate ndugu wa huyu jamaa wamsaidie, maana hapa dar hanaga ndugu zaidi ya yeye kuja na kufanya biashara zake japo alijenga
 
Ni mpaka maji waite mma k zinawanyolosa kisawasawa mwingine jana kamwagwa ubongo, hatujajinyoosha vizuri nara paap muheshimiwa katumbuka mwingine huyu kashakuwa chizi fresh na wakizubaa ndo imetoka hiyo
Hatari sana, ndugu zetu kanda ya ziwa mapenz yanawatesa sana, maana naona kesi nyingi harafu huwaamini wanawake sana
 
Mleta mada umeandika uongo na porojo na hadithi feki za kutunga mwanaume huyo haikuwa na shughuli ya kumwingizia kipato ? Kuwa Hata Mwanamke akiondoka maiaha yataendelea?

Mwongo mkubwa wewenna hujui kutunga uongo
 
Huyu jamaa hakuajiriwa, ila anafanya tender zake hasa kwenye petrol station anafunga camera, anatengeneza software za biashara, makanisani, yaani mkuu huyu mtu anatenda mpka nje ya nchi yaani anaunganisha computer ya Ghana na hapa anapiga kazi hata chini ya mti.

Anatenda za kusambaza sweta, uniform kuanzia Tanzania mpka Kenya, mkuu sijui nikwambiaje kuhusu huyu mtu.

Alikuwa na nyumba mbili dar, nasikia kauza, alikuwa na Guest pale Tabora, ngoja nitafute jina nitaliweka hapa

NB:HAKUAJIRIWA NA HATAKI KUSIKIA NENO AJIRA, KWA SABABU ANATENGENEZA FEDHA NYINGI SANA
Kama story yako ya kweli bas jamaa hatakiwi kuwa kwenye hali unayosema
 
Tatizo simu hana, ili niwatafute hata ndugu zake nijue wanamsaidia vipi, nataka nizame facebook nichague hata wadau 10 lengo nipate ndugu wa huyu jamaa wamsaidie, maana hapa dar hanaga ndugu zaidi ya yeye kuja na kufanya biashara zake japo alijenga
Nimeona unajishaua kuwa ni muislam hamfanyiwi ujinga😅😅matukio mnapigwa vizuri tu sema nyie ni wataalam wa kutelekeza watoto mkizinguana na mwanamke
 
1. Hujielewi.
2. Ulikuwa unataka kumfanyia hivyoo ukaishi kwa malaya akakuwahi
3. Kama ni yeye amekuchukulia mali zote bila sababu utapata nyingine nyingi.
Au nendeni mahakamani . Mpaka ameondoka kamuachia mwanamke vitu vyote kuna siri ambayo imebidi amuachie kila kitu. Kama yule mwanamke mwibaji wa jipe moyo utayashinda naye hivyo hivyoo ila akapata tajiri mkubwa karudisha mali zote
 
1. Hujielewi.
2. Ulikuwa unataka kumfanyia hivyoo ukaishi kwa malaya akakuwahi
3. Kama ni yeye amekuchukulia mali zote bila sababu utapata nyingine nyingi.
Au nendeni mahakamani . Mpaka ameondoka kamuachia mwanamke vitu vyote kuna siri ambayo imebidi amuachie kila kitu. Kama yule mwanamke mwibaji wa jipe moyo utayashinda naye hivyo hivyoo ila akapata tajiri mkubwa karudisha mali zote
Inawezekana ameliwa Timing
 
Tunaposema usioe mwanamke msomi mnapandisha shingo Zenu na pumbu Zenu kutwambia hatujitambui mara tumepitwa na Wakati
Haya Sasa ninyi mnaojitambua KIKO WAPI?

wake zetu wasio soma hawajui hata mishara zetu ni sh ngap. Hata hawajui Kuna jamii forum au Facebook aliichukua simu yeye kuangalia picha tu na clip za vichekesho na gospel
 
Back
Top Bottom