SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Mnakeraa sina vi licha kiMbona una hasira kama kuku mwenye vifaranga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnakeraa sina vi licha kiMbona una hasira kama kuku mwenye vifaranga
Kabisa wakiwaiwa wanashangaaKuna wanaume wa hovyo dunia hii.
Eh ndoa za sasa mtu asipende toka moyoni ajali maslahi ya watot wake na yake maisha haya wanaume wanakudelete mapema tu usiwaone wanalaumu ni vichomi kabisa vya nemoniaNi kuwahiana tu hata hivyo tumeteseka sana acha tunyooshane
Wanawake siku hizi kila mechi wanashinda wao wanaume tujipangeniWanaume tunapitia maisha magumu sana, hebu fikiria mtu ambaye anafanya kazi, mnaishi wote halafu mwanamke anakuja kuvuruga kila kitu.
Tuishi nao kwa akili sanaEh ndoa za sasa mtu asipende toka moyoni ajali maslahi ya watot wake na yake maisha haya wanaume wanakudelete mapema tu usiwaone wanalaumu ni vichomi kabisa vya nemonia
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 amini kwambaaa Fundi manyumbaNyuma ya mwanamke jeuri.
Kuna mzee wa hovyo mmoja
Umeona eeeh..😂😂😂😂😂😂😂😂😂 amini kwambaaa Fundi manyumba
Kuoa ni kubetiTunaposema usioe mwanamke msomi mnapandisha shingo Zenu na pumbu Zenu kutwambia hatujitambui mara tumepitwa na Wakati
Haya Sasa ninyi mnaojitambua KIKO WAPI?
wake zetu wasio soma hawajui hata mishara zetu ni sh ngap. Hata hawajui Kuna jamii forum au Facebook aliichukua simu yeye kuangalia picha tu na clip za vichekesho na gospel 😂
Mara zote naleta salary slp Wala hajisumbui kuangalia hajui hata Kuna basc Wala allowance.
Mtaelewa tu huko tunakoenda Hadi mtembee boxer zipo kichwani.
Narudia Tena. "NIKIFA MKEWANGU ASIOLEWE"
Duh embu fanya ivo.Simu Hana kivip mtu kama huyu na kazi zake izo?Tatizo simu hana, ili niwatafute hata ndugu zake nijue wanamsaidia vipi, nataka nizame facebook nichague hata wadau 10 lengo nipate ndugu wa huyu jamaa wamsaidie, maana hapa dar hanaga ndugu zaidi ya yeye kuja na kufanya biashara zake japo alijenga
Ishi nao kwa akiliWanawake ukilegeza kidogo wanakushangaza
😀😀😀Kukudelete ni chap kama ukizingua.Eh ndoa za sasa mtu asipende toka moyoni ajali maslahi ya watot wake na yake maisha haya wanaume wanakudelete mapema tu usiwaone wanalaumu ni vichomi kabisa vya nemonia
Hata asiekua na kazi bado ni kipengele, in short maisha magum kwa sasa ni maisha ya ndoakuwa na mwanamke mwenye kazi ni usenge mtupu ni swala la muda tu! akishapata watoto wake watatu anataka uhuru wa kufirw# vizuri hapo ndipo anaanza vitimbwi na ni wa kwanza kwenda kwenye madawati ya police wakijiliza kinafki,
kesi nyingi za kudai talaka zinazoongoza ni za wanawake wenye kazi!
Na wengi hata mimba hawawezi kusukuma ni mwendo wa operesheni sangara
Wanawake wa siku hizi MASHETANI tu.1. Hujielewi.
2. Ulikuwa unataka kumfanyia hivyoo ukaishi kwa malaya akakuwahi
3. Kama ni yeye amekuchukulia mali zote bila sababu utapata nyingine nyingi.
Au nendeni mahakamani . Mpaka ameondoka kamuachia mwanamke vitu vyote kuna siri ambayo imebidi amuachie kila kitu. Kama yule mwanamke mwibaji wa jipe moyo utayashinda naye hivyo hivyoo ila akapata tajiri mkubwa karudisha mali zote
Acha izo mzee maisha ya kutafuta hela ndo magumu ila ndoani kumoto.Hata asiekua na kazi bado ni kipengele, in short maisha magum kwa sasa ni maisha ya ndoa
hawa wasomi % kubwa wengi wanajutia sana. Heri ufw mapema yasikukute watu wajue uliiugua ukafa kuliko fedheha kubwa namna hiiKuoa ni kubeti
Duh embu fanya ivo.Simu Hana kivip mtu kama huyu na kazi zake izo?
🤣🤣🤣🤣My friend unamuamini mwanamke!?Sisi tunao waamini kwa miongo kadhaa sasa tufanye sass
Aaah kaka,maisha ya ndoa za siku hizi magumu sana.Acha izo mzee maisha ya kutafuta hela ndo magumu ila ndoani kumoto.