Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Mzazi unataka nikujengee nyumba kubwa nikununulie na usafiri, haya unayoyahitaji kutoka kwangu sijui kama uliwahi kumfanyia mzazi wako hata robo yake, mmekuwa ni watu wa kututishia kutupa laana na hali ya kuwa nyinyi wenyewe wazazi wenu waliwavumilia vituko vyenu mpaka kuwa na familia na kutuzaa sisi.
Sijui ni ubinafsi sijui ndio roho mbaya ila niseme tu mtalipwa kile mlichowatendea wazazi wenu
Sijui ni ubinafsi sijui ndio roho mbaya ila niseme tu mtalipwa kile mlichowatendea wazazi wenu