Wewe ni half-caste wa wapi na wapi...

Wewe ni half-caste wa wapi na wapi...

Sijui yani nawapenda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi urefu utakua unakuchanganya wewe....

Halafu kitu kingine niligundua wadada wengi wa kichaga wanatukubali kwa kuwa tukipenda tunakuwa wajinga fulani hivi hasahasa kwa rangi nyeupe.....

So wanakuwa wanatupelekesha kwelikweli ila kwangu hii kitu haikuwepo exposure ni nzuri sana katika maisha aisee....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi mada nzuri sana kwa baadhi ya watu.
Kuna Uzi kuhusu;

Shule uliyosoma.

Kabila

Half caste

Uliyesoma naye.

Tabia yako

Chuo.

Shule ya msingi etc



[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

labda wale wenye profile safi ndio watajitokeza na wenyewe kuna siku watataka kujificha kutuma vitu vya kuudhi,ama sensitive.heheeee ..tubaki na ua anonymous,kwanza kama Avatar huwa zinaeleza mengi, kwa mfano mimi ni kibibi halafu mbishiiii angalia Avatar utaona ni mzee na misuli ya shingo imekakamaaa hahaaaa….japo kuna cases nyingine ziko tofauti,ila jua avatar na tunayoyaandika humu vinakua ni snapshot ya mtu jinsi alivyo,so angalia Avatar kama ni mrembo jua kwa asilimia kubwa sana huyo mtu ni mrembo kweli ,ama sivyo ,huyo mtu anajiamini na kujikubali maumbile yake sana...anaweza asiwe na urembo wa vigezo vya kila mtu lakini kwa hao wachache aliowahi kukutana nao wamemfanya kuwa confident kuwa ni mrembo...
 
Nahisi urefu utakua unakuchanganya wewe....

Halafu kitu kingine niligundua wadada wengi wa kichaga wanatukubali kwa kuwa tukipenda tunakuwa wajinga fulani hivi hasahasa kwa rangi nyeupe.....

So wanakuwa wanatupelekesha kwelikweli ila kwangu hii kitu haikuwepo exposure ni nzuri sana katika maisha aisee....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mnajua kupenda na mnajali. Shida yenu gubu tuu. Yan mnajua kususa. Urefu pia yes. Ukimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona umesuswa jua kuna mahali umemkwaza na hutaki kukubali kosa....

Mbona tunasamehe sana na tunasahau bila shida white....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mtu akikosea hamsemehi mpaka mjisikie. Na hamuwezi mkasema kama mtu asipojiongeza. Ila nawapenda sana wanaume wa kanda yenu. Na mnajua kuhandle mwanamke hadi ajione dunia yake jamani. Wakurya mnapenda bwana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom