Wewe ni half-caste wa wapi na wapi...

Wewe ni half-caste wa wapi na wapi...

labda wale wenye profile safi ndio watajitokeza na wenyewe kuna siku watataka kujificha kutuma vitu vya kuudhi,ama sensitive.heheeee ..tubaki na ua anonymous,kwanza kama Avatar huwa zinaeleza mengi, kwa mfano mimi ni kibibi halafu mbishiiii angalia Avatar utaona ni mzee na misuli ya shingo imekakamaaa hahaaaa….japo kuna cases nyingine ziko tofauti,ila jua avatar na tunayoyaandika humu vinakua ni snapshot ya mtu jinsi alivyo,so angalia Avatar kama ni mrembo jua kwa asilimia kubwa sana huyo mtu ni mrembo kweli ,ama sivyo ,huyo mtu anajiamini na kujikubali maumbile yake sana...anaweza asiwe na urembo wa vigezo vya kila mtu lakini kwa hao wachache aliowahi kukutana nao wamemfanya kuwa confident kuwa ni mrembo...
Talk sense...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom