witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Huogopi kukatwa katwa mapanga once umemuudhi?[emoji15] [emoji15]Hata mtu akikosea hamsemehi mpaka mjisikie. Na hamuwezi mkasema kama mtu asipojiongeza. Ila nawapenda sana wanaume wa kanda yenu. Na mnajua kuhandle mwanamke hadi ajione dunia yake jamani. Wakurya mnapenda bwana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app