Kama ulitumia vitu vifiatavyo hakika wewe u mhenga;
Madaftari yenye cover la Sungura, badae simba, badae sana wakaweka big five
Peni za Bic, Beifa, badae Cello
Ruler za Haco au zile za mbao, nimesahau brand yake
Kichongeo cha duara chenye ka kioo
Saa za mkononi za ASAHI
Viatu aina ya Losso, Manjia
Tai zenye vimulimuli kwa mbele
Majeans brand ya tiger
Mgauni special (ya dukani) yenye vikengele kwa mbele
Pipi sigara
Kanda mbili za Umoja zile nyembamba ngumu (haziishi)
Betri aina ya Bell (zinavuja hatari)
Sabuni za kufulia za Mbuni, Komoa, Mshindi, Skadi
Vitabu vya hadithi vya Mchera ziwani, Kapotei na Lulu, Mji wa Mawe,
Vipindi ITV vya The bold and beautiful, African soccer show, Africa Journal (ya enzi hizo)
Vipindi RTD vya Majira, Twende na Wakati, Zinduka, cheichei shangazi,
.....nitarudi kuendelea.....