Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Simaanishi nimeitumia shuleni, yaani nilikuwa naitumia nyumbani nikiwa shule ya msingiAisee basi ulikuwa una kwenda shule na hela nyingi ..cause nakumbuka That time tsh.5 ilikuwa ndio inapotea potea lakini ilikuwa unanunua baadhi ya mahitaji kwa kuanzia tsh.10 ....... Nakumbuka nusu ya sukari tulikuwa tuna nunua kwa tsh 100 ...Kg1 ya unga ilikuwa ni 200 na kuna wakati Kg1 ilikuwa Inashuka mpaka kufikia 180....