Wewe ni mhenga?

Wewe ni mhenga?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unapiga mawe juu ya bati ya nyumbani kwa binti kwa lengo la kumuita wewe ni muhenga nanusu
Kama ulikuwa unawatuma watoto wadogo wakamuite msichana kwao, wewe ni muhenga.

Siku moja jamaa kawatuma watoto wawili wakubwa kidogo waende kumuita msichana kwao, baada ya kufika wakakutana na baba yake amekaa nje wakaishia kujifanya wamepoteza mbuzi na wanamtafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ulikuwa unawatuma watoto wadogo wakamuite msichana kwao, wewe ni muhenga.

Siku moja jamaa kawatuma watoto wawili wakubwa kidogo waende kumuita msichana kwao, baada ya kufika wakakutana na baba yake amekaa nje wakaishia kujifanya wamepoteza mbuzi na wanamtafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nilikuwa nasema sasa watu wanatongozaje...siku moja nikaona katoto kalikiwa darasa la tatu mimi la nne.

Nikakafuata taratibu nikakambia naomba ....ma.

Kaliruka kama kamepigwa starter. Kakamwaga sugari kaliyobeba....

Hiyo kesi iliyokuja sitakaa niisahau.
 
Umenikumbusha kale ka mchezo ka baba na mama. Nilikuwa bingwa wa kuitendea haki nafasi ya baba
Wee babu bana, hukuwahi kuvuka stage kweli....

maana naona kama unasup stage....
 
Kama ulikuwa unazungusha cassete na peni wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unakula gud gud chocolate wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unachana nywele na chanuo la chuma unalipitisha kwny moto wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unaweka vimstari kwny shati la shule ukipiga pasi wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unavaa raba za dingi hana uwezo ( dhl) shuleni wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unapenda matandu na ukoko unayaloweka na mchuzi viloane ndo ule wewe ni muhenga

Kama ulikuwa jnakisubiria kipindi cha mama na mwana redio tanzania wewe ni muhenga hama kwenu kajitegemee
aisee...! kweli mimi ni muhenga!
 
Mimi nilikuwa nasema sasa watu wanatongozaje...siku moja nikaona katoto kalikiwa darasa la tatu mimi la nne.

Nikakafuata taratibu nikakambia naomba ....ma.

Kaliruka kama kamepigwa starter. Kakamwaga sugari kaliyobeba....

Hiyo kesi iliyokuja sitakaa niisahau.
Walikuwa wanasema wanaenda kukusema kwa mama yao, halafu mama yake akakinukishe home kwenu
 
Walikuwa wanasema wanaenda kukusema kwa mama yao, halafu mama yake akakinukishe home kwenu
Mama alilipa ile sukari.
Akaniambia leo utanijua nani kakfundisha tabia za kuomba viungo vya siri watoto watu?
 
Back
Top Bottom