Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kama ulikuwa unawatuma watoto wadogo wakamuite msichana kwao, wewe ni muhenga.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unapiga mawe juu ya bati ya nyumbani kwa binti kwa lengo la kumuita wewe ni muhenga nanusu
Siku moja jamaa kawatuma watoto wawili wakubwa kidogo waende kumuita msichana kwao, baada ya kufika wakakutana na baba yake amekaa nje wakaishia kujifanya wamepoteza mbuzi na wanamtafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]