Wewe ni mhenga?

Wewe ni mhenga?

Kama ulikuwa unazungusha cassete na peni wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unakula gud gud chocolate wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unachana nywele na chanuo la chuma unalipitisha kwny moto wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unaweka vimstari kwny shati la shule ukipiga pasi wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unavaa raba za dingi hana uwezo ( dhl) shuleni wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unapenda matandu na ukoko unayaloweka na mchuzi viloane ndo ule wewe ni muhenga

Kama ulikuwa jnakisubiria kipindi cha mama na mwana redio tanzania wewe ni muhenga hama kwenu kajitegemee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Najivunia sana kuwa muhenga
 
Kama ulikuwa unazungusha cassete na peni wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unakula gud gud chocolate wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unachana nywele na chanuo la chuma unalipitisha kwny moto wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unaweka vimstari kwny shati la shule ukipiga pasi wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unavaa raba za dingi hana uwezo ( dhl) shuleni wewe ni muhenga

Kama ulikuwa unapenda matandu na ukoko unayaloweka na mchuzi viloane ndo ule wewe ni muhenga

Kama ulikuwa jnakisubiria kipindi cha mama na mwana redio tanzania wewe ni muhenga hama kwenu kajitegemee
Kama umeenda shule kwa kushika sikio na mkono wewe ni mhenga mbobezi.

Kama shuleni umetazamwa kwa kioo na kuambiwa rangi ya chupi yako wewe ni mhenga.

Kuna zile chupi unakuta za rangi moja kama kijani halafu zinavutika kama manati ndiyo mlikuwa mnaziitaje? Usiniulize nimezijuaje
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Najivunia sana kuwa muhenga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sana

Kama umekunywa maji ya kwny mtungi na kikombe cha bati wewe ni muhenga na nusu

Kama umekunywa chai ya kuunguza sukari ( inaitwa twi in one maana umeokoa majani ya chai na sukari pia) ndg yangu wewe ni muhenga
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sana

Kama umekunywa maji ya kwny mtungi na kikombe cha bati wewe ni muhenga na nusu

Kama umekunywa chai ya kuunguza sukari ( inaitwa twi in one maana umeokoa majani ya chai na sukari pia) ndg yangu wewe ni muhenga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uhenga wa hivi vitu bado ninao hadi sasa..

Maji ya kwenye mtungi yanakuwa ya baridi mithili ya friji
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uhenga wa hivi vitu bado ninao hadi sasa..

Maji ya kwenye mtungi yanakuwa ya baridi mithili ya friji
Sana maji yanakuwa matamu. Siku hz watu wana dispenser
 
-Kama unapigiwa simu unainyanyua juu kisha unauliza nani huyu tena anapiga! Wewe ni mhenga

-Kama ulitumia mafuta ya kimbo ya kopo la chuma wewe ni mhenga ndugu yangu.

-Lingine kama ulioga kwenye bafu lenye mlango wa gunia huku unatoka kwa kukanyagia visigino usichafuke...wewe pia ni mhenga tena mhenga kweli.
.
tapatalk_gif_1562850312823.gif
 
Kama bado unatongozwa na kukata vimajani na kuishia kusema yaani wewe Daby.

Wewe ni mhenga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unang'ata kucha ukitongozwa wewe ni muhenga

Kama bado unajipitisha pitisha nyumbani kwa mpenz wako ili akuone wewe ni muhenga

Kama bado unamvizia mpenz wako njiani wewe ni muhenga
 
Back
Top Bottom