Wewe ni mhenga?

Wewe ni mhenga?

Kama umekunya kweny miguu ya mama wewe ni muhenga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku hizi kuna vifaa maalumu Muhenga mwenzangu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unang'ata kucha ukitongozwa wewe ni muhenga

Kama bado unajipitisha pitisha nyumbani kwa mpenz wako ili akuone wewe ni muhenga

Kama bado unamvizia mpenz wako njiani wewe ni muhenga
Kama umeambiwa naomba nanii ukalia ukaenda kumwambia mama... wewe ni kahenga haswa.
 
-Kama unapigiwa simu unainyanyua juu kisha unauliza nani huyu tena anapiga! Wewe ni mhenga

-Kama ulitumia mafuta ya kimbo ya kopo la chuma wewe ni mhenga ndugu yangu.

-Lingine kama ulioga kwenye bafu lenye mlango wa gunia huku unatoka kwa kukanyagia visigino usichafuke...wewe pia ni mhenga tena mhenga kweli.

Na wale waliojifunza Kufanya Ngono kwa mara yao ya Kwanza kwa Hisani za Wafanyakazi wa Ndani ( House Maids ) miaka hiyo ya nyuma nao wanastahili Kuitwa Wahenga Mkuu au?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unang'ata kucha ukitongozwa wewe ni muhenga

Kama bado unajipitisha pitisha nyumbani kwa mpenz wako ili akuone wewe ni muhenga

Kama bado unamvizia mpenz wako njiani wewe ni muhenga
Kama ulienda kucheza ngoma usiku nyumbani kwa msichana baada ya tarehe ya kuolewa kutangazwa, wewe ni Muhenga
 
Na wale waliojifunza Kufanya Ngono kwa mara yao ya Kwanza kwa Hisani za Wafanyakazi wa Ndani ( House Maids ) miaka hiyo ya nyuma nao wanastahili Kuitwa Wahenga Mkuu au?
Wewe ni mhenga mkuu...ukiongezea wale waliokuwa wanadanganya watoto wa jirani wakacheze kwenye mchanga kisha wanawadanganya vitumbua vimeingia mchanga wawasaidie kufuta.

Hawa ni wahenga.
 
Kama ulienda kucheza ngoma usiku nyumbani kwa msichana baada ya tarehe ya kuolewa kutangazwa, wewe ni Muhenga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unapiga mawe juu ya bati ya nyumbani kwa binti kwa lengo la kumuita wewe ni muhenga nanusu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama ulikua unatongozwa na kung'ata kucha au kuchezea jani la mti wewe ni muhenga mwenzangu
Kama umecheza mchezo wa rede bila chupi kitumbua kikaingia mchanga.

Wewe ni kahenga........mtafute mhenga Asprin akufute vumbi.
 
Kama ulirudisha chupa za soda dukani uku unalamba lamba wewe ni mhenga
Kama kwenye sherehe bado unaweka soda za rangi tofauti fanta na sprite kisha unapiga picha ili urembo utokee huku umekaa kwenye makochi yako yenye vitambaa vya kutarizi wewe ni mhenga.
 
Back
Top Bottom