Hizo noti za 10k blue na 5k ya kaki niza juzi kati tu mbona, Hadi Lil Sama kazitumia [emoji2956][emoji2956] Kuna vitoto humu vinaweza visiwe vinamjua. ndege JOHN Zero IQ Viatu vya SamakiTumetoka mbali sanaView attachment 1156482View attachment 1156483
HapanaVp 25 uliikuta?
Hapa Mimi sio mhengaTumetoka mbali sanaView attachment 1156482View attachment 1156483
Hahaha huu mchezo watoto wahuni Walikuwa wana tafunana sana aise. .wakienda kujificha ndio wana zamia huko huko
Hahaaa hatari sana. .ule mchezo mpaka leo sijui kucheza. ... Kuna michezo ilinishinda sana mpaka leo licha ya kuzungukwa na watu walio kuwa wanaicheza. ... mmoja wapo ukiwa ni kucheza karata
Hahahahahahaha tulikuwa tunajificha kwenye mashamba ya Mahindi na mihogo basi huko kwenye mihogo hatutoki mapema tunachimba na kutafuna juu kwa juu
Kama ulivaa ndala za bata zikakatika ukaweka mwimba kamba zisichomoke.
Wewe ni mhenga tena uliyeshiriki kutunga methali.
Kama umeenda shule kwa kushika sikio na mkono wewe ni mhenga mbobezi.
Kama shuleni umetazamwa kwa kioo na kuambiwa rangi ya chupi yako wewe ni mhenga.
Kuna zile chupi unakuta za rangi moja kama kijani halafu zinavutika kama manati ndiyo mlikuwa mnaziitaje? Usiniulize nimezijuaje
Kabisa kabisa hahahahaha jamani natamani kurudi utotoniHahaha hatari sana ' Aise ni mwendo wa kubadilishana t-shirt tu kwaajili ya kumzubaisha mlinda kopo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sana
Kama umekunywa maji ya kwny mtungi na kikombe cha bati wewe ni muhenga na nusu
Kama umekunywa chai ya kuunguza sukari ( inaitwa twi in one maana umeokoa majani ya chai na sukari pia) ndg yangu wewe ni muhenga