Wewe ni mzazi yupi: Unaruhusu mtoto kumiliki na kutumia simu na mitandao ya kijamii au simu ni marufuku mpaka afike chuo?

Wewe ni mzazi yupi: Unaruhusu mtoto kumiliki na kutumia simu na mitandao ya kijamii au simu ni marufuku mpaka afike chuo?

Nadhani ni swala la akili ya huyo mtoto mwenyewe na malezi aliokulia,hata kama ni wa kike kama yuko above 18,mpe huku ukifanya very close monitoring,ukigundua kuna shida chukua hiyo simu,ila kama hana shida yoyote muachie tu kwani dunia imebadilika sana,kuishi bila simu umri huo kunamfanya awe nje sana ya huu ulimwengu.Nina uhakika hata wale wazazi miaka ile hakuna simu,mambo haya ya hovyo hovyo kuanzia miaka 10 wengine walikwishayajua ila malezi kwakuwa yalikuwa mazuri unakuta hukuyaendekeza na ukafika pazuri,kwahiyo hata kwenye simu ni hivyohivyo......
Miaka 18 huyo ni mtu mzima Mkuu, tunaongelea watoto chini ya hapo... mpaka inafika miaka 18 unaanza monitor simu yake hapa tatizo litakuwa kubwa, ina maana hakupata msingi mzuri huku chini kiasi kwamba hata kushawishika kwenye mambo mambo mabaya ni rahisi
 
WA kiume Sawa wa kike afike Chuo kwanza Ila ni impossible Yan sahv mwanao ndo anamiaka miwili🤣2040 ety umzuie asiwe na simu hakuna kitu kama hcho kwa hawa watoto wetu ye mwaka 0-10 s ndo vijana kuanzia 2035🤣itakua ngumu hiyo
Wakuu salaam,

Tuna wazazi na walezi wa aina tofauti kwenye jamii, kuna wale wanaokwenda na wakati na wale ambao kidogo ka ukoloni kapo wakiamini njia zilizotumika miaka 47 kwake zitafanya kazi katika kizazi hiki.

Matumizi ya digitali yakua kadri siku zinavyosonga, si tu kwa watu wazima kwani hata watoto wanatumia digitali kwenye masomo yao na hata michezo. Sasa kuna wazazi ambao katika ulimwengu huu nyumbani kwake ni marufuku mtoto kumiliki na kutumia simu mpaka atakapofika chuo ikionekana huu ndio umri 'sahihi' au kwa wengine ni mpaka pale atakapokuwa na uwezo wa kujinunulia mwenyewe simu.

Kuna wazazi wengine siyo simu tu, hata TV nyumbani kwake ni marufuku, kwa kisingizio kuwa 'zinaharibu watoto', au 'siku hizi hakuna maadili', nk, unakuta TV inakaa chumbani kwa wazazi waangalie wenyewe, msiwafanyie watoto jamani 😁😁.

Nikwambie tu, kama wewe ni mzazi huyu jua tu kwamba mtoto wako anatumia simu kama hana akili nzuri, tena inawezekana anajua kutumia simu kuliko wewe, na wengine wanamiliki kabisa simu, ametoa wapi nani kamnunulia, hiyo inaweza kuwa topic ya wakati mwingine (ntawapa story sehemu ya comment mambo yasiwe mengi hapa, jinsi mzee wetu alivyokuwa mkoloni kwenye suala la TV na simu, na kama hilo lilituzuia kutumia vifaa hivyo).

Badala ya kumzuia, ambayo huwezi na unamnyima mtoto njia nyingine ya kujifunza na kukuza ubunifu, mwongoze kwenye matumizi mazuri ya simu, mueleze hatari anazoweza kukutana nazo kwenye mitandao hii na jinsi anavyoweza kutumia vizuri.

Apps nyingi zina matoleo ya watoto, muwekee hizo atumie na mara kwa mara fanya mazungumzo naye ya kirafiki ujue anafanya nini mtandaoni na vipi unaweza kumsaidia kuboresha zaidi matumizi yake.

Tukiwa tumeweka kalam chini kama Robert Heriel Mtibeli, tuambie, wewe ni mzazi wa aina gani, unamwongoza mtoto kwenye matumizi mazuri na kuhimiza matumizi ya digitali salama au team mafuruku mpaka mpaka mtoto awe na 'akili', pia tuambie kwanini?
 
WA kiume Sawa wa kike afike Chuo kwanza Ila ni impossible Yan sahv mwanao ndo anamiaka miwili🤣2040 ety umzuie asiwe na simu hakuna kitu kama hcho kwa hawa watoto wetu ye mwaka 0-10 s ndo vijana kuanzia 2035🤣itakua ngumu hiyo
Unafikiri hatotumia simu kweli mpaka afike umri huo? Tena ndio unamfanya atafute njia mbadala za kumiliki simu hiyo
 
Wakuu salaam,

Tuna wazazi na walezi wa aina tofauti kwenye jamii, kuna wale wanaokwenda na wakati na wale ambao kidogo ka ukoloni kapo wakiamini njia zilizotumika miaka 47 kwake zitafanya kazi katika kizazi hiki.

Matumizi ya digitali yakua kadri siku zinavyosonga, si tu kwa watu wazima kwani hata watoto wanatumia digitali kwenye masomo yao na hata michezo. Sasa kuna wazazi ambao katika ulimwengu huu nyumbani kwake ni marufuku mtoto kumiliki na kutumia simu mpaka atakapofika chuo ikionekana huu ndio umri 'sahihi' au kwa wengine ni mpaka pale atakapokuwa na uwezo wa kujinunulia mwenyewe simu.

Kuna wazazi wengine siyo simu tu, hata TV nyumbani kwake ni marufuku, kwa kisingizio kuwa 'zinaharibu watoto', au 'siku hizi hakuna maadili', nk, unakuta TV inakaa chumbani kwa wazazi waangalie wenyewe, msiwafanyie watoto jamani 😁😁.

Nikwambie tu, kama wewe ni mzazi huyu jua tu kwamba mtoto wako anatumia simu kama hana akili nzuri, tena inawezekana anajua kutumia simu kuliko wewe, na wengine wanamiliki kabisa simu, ametoa wapi nani kamnunulia, hiyo inaweza kuwa topic ya wakati mwingine (ntawapa story sehemu ya comment mambo yasiwe mengi hapa, jinsi mzee wetu alivyokuwa mkoloni kwenye suala la TV na simu, na kama hilo lilituzuia kutumia vifaa hivyo).

Badala ya kumzuia, ambayo huwezi na unamnyima mtoto njia nyingine ya kujifunza na kukuza ubunifu, mwongoze kwenye matumizi mazuri ya simu, mueleze hatari anazoweza kukutana nazo kwenye mitandao hii na jinsi anavyoweza kutumia vizuri.

Apps nyingi zina matoleo ya watoto, muwekee hizo atumie na mara kwa mara fanya mazungumzo naye ya kirafiki ujue anafanya nini mtandaoni na vipi unaweza kumsaidia kuboresha zaidi matumizi yake.

Tukiwa tumeweka kalam chini kama Robert Heriel Mtibeli, tuambie, wewe ni mzazi wa aina gani, unamwongoza mtoto kwenye matumizi mazuri na kuhimiza matumizi ya digitali salama au team mafuruku mpaka mpaka mtoto awe na 'akili', pia tuambie kwanini?
Watu wasio na akili wao wanadhani dunia ya sasa ni dunia ya MSHIKA MAWILI MOJA UMPONYOKA ....dunia ya sasa ni ya kuwafundisha watoto kushika MENGI SANA PASIPO KUPONYOKWA NA CHOCHOTE ...hivyo hikitokea kashika 100 na moja kumponyoka huyo yupo vizuri maana anabaki na 99...
Badala ya kumzuia mtoto kutumia simu na kumiliki simu ni bora kumfundisha kuitawala simu kiakili ...
💥 KUNA TOFAUTI YA SIMU KUTAWALA AKILI na AKILI KUTAWALA SIMU
💥 KUNA TOFAUTI YA AKILI KUTAWALA PESA na PESA KUTAWALA AKILI
💥 KUNA TOFAUTI YA MAPENZI KUTAWALA AKILI na AKILI KUTAWALA MAPENZI
mlolongo ni mrefu ...kinachotakiwa kwa mzazi ni kumfundisha mtoto kuvitawala vitu vyote kwa AKILI na siyo AKILI zake kutawaliwa na hivyo vitu.
 
Wakike ni fimbo na kumkanya kwa kutumia maandiko "wa heshimu baba na mama yako upate kheri na miaka mingi duniani"
Unafikiri hatotumia simu kweli mpaka afike umri huo? Tena ndio unamfanya atafute njia mbadala za kumiliki simu hiyo
 
Watu wasio na akili wao wanadhani dunia ya sasa ni dunia ya MSHIKA MAWILI MOJA UMPONYOKA ....dunia ya sasa ni ya kuwafundisha watoto kushika MENGI SANA PASIPO KUPONYOKWA NA CHOCHOTE ...hivyo hikitokea kashika 100 na moja kumponyoka huyo yupo vizuri maana anabaki na 99...
Badala ya kumzuia mtoto kutumia simu na kumiliki simu ni bora kumfundisha kuitawala simu kiakili ...
💥 KUNA TOFAUTI YA SIMU KUTAWALA AKILI na AKILI KUTAWALA SIMU
💥 KUNA TOFAUTI YA AKILI KUTAWALA PESA na PESA KUTAWALA AKILI
💥 KUNA TOFAUTI YA MAPENZI KUTAWALA AKILI na AKILI KUTAWALA MAPENZI
mlolongo ni mrefu ...kinachotakiwa kwa mzazi ni kumfundisha mtoto kuvitawala vitu vyote kwa AKILI na siyo AKILI zake kutawaliwa na hivyo vitu.
Umesema yote Mkuu, nimependa ulivyoweka hoja yako👏🙌
 
Wakike ni fimbo na kumkanya kwa kutumia maandiko "wa heshimu baba na mama yako upate kheri na miaka mingi duniani"
Kwanini? Yeye hastahili kuelimika katika ulimwengu huu wa digitali?
 
Wakuu salaam,

Tuna wazazi na walezi wa aina tofauti kwenye jamii, kuna wale wanaokwenda na wakati na wale ambao kidogo ka ukoloni kapo wakiamini njia zilizotumika miaka 47 kwake zitafanya kazi katika kizazi hiki.

Matumizi ya digitali yakua kadri siku zinavyosonga, si tu kwa watu wazima kwani hata watoto wanatumia digitali kwenye masomo yao na hata michezo. Sasa kuna wazazi ambao katika ulimwengu huu nyumbani kwake ni marufuku mtoto kumiliki na kutumia simu mpaka atakapofika chuo ikionekana huu ndio umri 'sahihi' au kwa wengine ni mpaka pale atakapokuwa na uwezo wa kujinunulia mwenyewe simu.

Kuna wazazi wengine siyo simu tu, hata TV nyumbani kwake ni marufuku, kwa kisingizio kuwa 'zinaharibu watoto', au 'siku hizi hakuna maadili', nk, unakuta TV inakaa chumbani kwa wazazi waangalie wenyewe, msiwafanyie watoto jamani 😁😁.

Nikwambie tu, kama wewe ni mzazi huyu jua tu kwamba mtoto wako anatumia simu kama hana akili nzuri, tena inawezekana anajua kutumia simu kuliko wewe, na wengine wanamiliki kabisa simu, ametoa wapi nani kamnunulia, hiyo inaweza kuwa topic ya wakati mwingine (ntawapa story sehemu ya comment mambo yasiwe mengi hapa, jinsi mzee wetu alivyokuwa mkoloni kwenye suala la TV na simu, na kama hilo lilituzuia kutumia vifaa hivyo).

Badala ya kumzuia, ambayo huwezi na unamnyima mtoto njia nyingine ya kujifunza na kukuza ubunifu, mwongoze kwenye matumizi mazuri ya simu, mueleze hatari anazoweza kukutana nazo kwenye mitandao hii na jinsi anavyoweza kutumia vizuri.

Apps nyingi zina matoleo ya watoto, muwekee hizo atumie na mara kwa mara fanya mazungumzo naye ya kirafiki ujue anafanya nini mtandaoni na vipi unaweza kumsaidia kuboresha zaidi matumizi yake.

Tukiwa tumeweka kalam chini kama Robert Heriel Mtibeli, tuambie, wewe ni mzazi wa aina gani, unamwongoza mtoto kwenye matumizi mazuri na kuhimiza matumizi ya digitali salama au team mafuruku mpaka mpaka mtoto awe na 'akili', pia tuambie kwanini?

Ahsante Sana
 
Back
Top Bottom