Wewe Sheikh Ponda uanze kwanza kwa kuwaambia Hamas wawaachie vijana wetu waliowateka

Wewe Sheikh Ponda uanze kwanza kwa kuwaambia Hamas wawaachie vijana wetu waliowateka

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Eti maandamano kupinga vita dhidi ya palestina. Muisrael afanyi vita dhidi ya Palestina anafanya vita dhidi ya magaidi ya Hamas.

Hakuna mnachoandamana cha maana dhaidi ya kutimiza itikadi zenu kama sio mbona hamjalia kupinga vijana Watanzania kuwa mateka chini ya hao Wapalestina wenzenu. Kisa vijana sio Waislam au sio? Alafu wako chini ya Waislam wenu au sio?

Very rubbish sana nyie watu.
 
Mimi sijaona makosa ya shehe ponda,,

Zaidi ya hofu tuliyonayo watanzania kwa inchi za magharibi.,

Wanainchi mbalimbali Dunia bila kujali madhehebu yao ,,
,wamejitokeza barabarani kuandamana na kulaani mashambulio ya israel kwa Palestine ,,
Shehe ponda kosa lake nn?

Tuache Woga Kwa mataifa ya magharibi.


Swali je ,,, inchi yetu ya Tanzania imepiga Kura inasupport Palestine au Israel?


Kama inasuport Palestine,,je shehe ponda kosa lake lipi kusupport Palestine?


Tuache Woga kwenye kusimamia haki.
 
Mimi sijaona makosa ya shehe ponda,,

Zaidi ya hofu tuliyonayo watanzania kwa inchi za magharibi.,

Wanainchi mbalimbali Dunia bila kujali madhehebu yao ,,
,wamejitokeza barabarani kuandamana na kulaani mashambulio ya israel kwa Palestine ,,
Shehe ponda kosa lake nn?

Tuache Woga Kwa mataifa ya magharibi.


Swali je ,,, inchi yetu ya Tanzania imepiga Kura inasupport Palestine au Israel?


Kama inasuport Palestine,,je shehe ponda kosa lake lipi kusupport Palestine?


Tuache Woga kwenye kusimamia haki.

Mkuu ukiruhusu kila mpuuzi mwenye ajenda yake afanye maandamano mwisho wasiku nchi itavurugika.
 
Huyu siku zote ukimuona kwenye platform yoyote iwe ya kijamii au ya Kisiasa sii kweli kuwa anavutiwa na vyama hivyo Bali ni kutafuta mwanya wa kueneza idea yake ya kuisilimisha Tanzania. Walipenya kwenye NGOME ya chadomo yeye na mwingine aitwaye Katimba wakawa wanatoa maombi ya ajabu ajabu kwenye mikutano Yao na hii ni baada ya KAFU kusambaratika ambayo ilikuwa NGOME Yao kuu ya propaganda za kidini. Siku zote hajawahi kuwaza mema kwa nchi yake zaidi ya kutafuta njia ya kuleta insecurity ili apate mwanja wa kutimiza jambo lake
 
Ni Wanafika sana hao, wana chuki sana na Wakristo

Yaani ndugu zao ni Waislam wenzao tu hata km ni Waarabu hawana uhusiano wowote wa damu wala mfanano wa ngozi, sura na nywele

Ujinga Mtupu
Unakosea ndugu yangu, Hatuna chuki na Wakristu,na Sio tu Waislam ni ndugu zetu bali Wakrirtu pia.
Dunia yote inaandamana kuwaunga mkono Wapalestina.Mbona hulalamiki kwamba ni wanafiki na wana chuki na Wakristu.
UBINADAMU KWANZA
DINI BAADAEE
 
Mimi sijaona makosa ya shehe ponda,,

Zaidi ya hofu tuliyonayo watanzania kwa inchi za magharibi.,

Wanainchi mbalimbali Dunia bila kujali madhehebu yao ,,
,wamejitokeza barabarani kuandamana na kulaani mashambulio ya israel kwa Palestine ,,
Shehe ponda kosa lake nn?

Tuache Woga Kwa mataifa ya magharibi.


Swali je ,,, inchi yetu ya Tanzania imepiga Kura inasupport Palestine au Israel?


Kama inasuport Palestine,,je shehe ponda kosa lake lipi kusupport Palestine?


Tuache Woga kwenye kusimamia haki.
Palestina na Israel zinatuhusu nini?

Mbona hatuandamani mauaji Congo, Sudan, Somalia nk

Haitotokea eti mpalestina au muisrael aandamane Tanzania ikipigwa
 
Palestina na Israel zinatuhusu nini?

Mbona hatuandamani mauaji Congo, Sudan, Somalia nk

Haitotokea eti mpalestina au muisrael aandamane Tanzania ikipigwa
Huyo kiumbe ni mnafique.Watu wengi hufa kwa kuonewa hapa Tanzania.Aliandamana?
 
Unakosea ndugu yangu, Hatuna chuki na Wakristu,na Sio tu Waislam ni ndugu zetu bali Wakrirtu pia.
Dunia yote inaandamana kuwaunga mkono Wapalestina.Mbona hulalamiki kwamba ni wanafiki na wana chuki na Wakristu.
UBINADAMU KWANZA
DINI BAADAEE
Mkuu, mimi ninawaonea huruma sana pia Wapalestina

Kamwe siwezi kushabikia mauaji au mateso kwa Watoto

Lakini kuna Waislam wapumbavu sana wanaoona ni sawa kwa Wakristo kuuawa kwsbb tu sio Waislam wenzao wanaosema ni ndugu zao hasa
 
Ukiingia ikilu kwa first kama umechagulia kuwa raisi lazima ukanyage mafuta ya ngurue yaliyo mlangoni wa kuingia ndani ya ikulu ili kufuta element zote za udini ulizo weka moyoni....iyo ni amri sio ombii..........

Angalizoo kwa shekh ponda..........
 
Mkuu, mimi ninawaonea huruma sana pia Wapalestina

Kamwe siwezi kushabikia mauaji au mateso kwa Watoto

Lakini kuna Waislam wapumbavu sana wanaoona ni sawa kwa Wakristo kuuawa kwsbb tu sio Waislam wenzao wanaosema ni ndugu zao hasa
Huna akili.
 
Kumbe una vijana wako wametekwa pole sana mkuuu😂😂😂
 
Back
Top Bottom