Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njooni muone wenyeweWajinga ndiyo waliwao.
Mwamposa ni Wakili wa Mungu kihalali kabisa Mfuatilie kabla hujampingaBwana Yesu asifiwe,
Jumapili hii, Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu katika ibada ya kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,
Kunamtu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati tu unazaliwa watu wabaya wakafanya yao,
Watu hao wamekamatia siku yako yako ya kuzaliwa ndio maana wewe hukui kama wenzako.
Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,
Hukui kimichezo,
Hukui kiutajiri,
Hukui kiroho,
Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka " Siku imesisima"
Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa kimwili tu vingine vyote viko palepale havikui kabisa,
Njóo Apostle atafafanua vizuri zaidi kuhusu siku ya kuzaliwa na kwanini ameweka keki ya Upako,
Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako kisiasa au hali yako kiuchumi.
====
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.
#HUDUMA HII NI YA BURE KABISA
View attachment 2848928
Mambo yote ulitotaja yanatatuliwa kwa kipato, ajira, mshahara! Sio maombi bro! Ulaya, USA, Malaysia, Vietnam, south Afrika, china, hazikujengwa kwa maombi! Muogopeni Mungu,Bwana Yesu asifiwe,
Jumapili hii, Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu katika ibada ya kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,
Kunamtu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati tu unazaliwa watu wabaya wakafanya yao,
Watu hao wamekamatia siku yako yako ya kuzaliwa ndio maana wewe hukui kama wenzako.
Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,
Hukui kimichezo,
Hukui kiutajiri,
Hukui kiroho,
Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka " Siku imesisima"
Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa kimwili tu vingine vyote viko palepale havikui kabisa,
Njóo Apostle atafafanua vizuri zaidi kuhusu siku ya kuzaliwa na kwanini ameweka keki ya Upako,
Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako kisiasa au hali yako kiuchumi.
====
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.
#HUDUMA HII NI YA BURE KABISA
View attachment 2848928
Sasa masikini ndio wanapashwa kuombewa ili wawe Matajiri na wengi wao Hali zao zimebadilika sanaMambo yote ulitotaja yanatatuliwa kwa kipato, ajira, mshahara! Sio maombi bro! Ulaya, USA, Malaysia, Vietnam, south Afrika, china, hazikujengwa kwa maombi! Muogopeni Mungu,
Akili, sayansi,ndio vinajenga nchi, na, wananchi!sio, maombi! Wenye matatizo yasioyotibika hospitsri sawa, Ila waumin wenu wengi ni maskini wa kipato! Hawana, pesa, za kutosha kula vzr, kusomesha vzr, sasa unamsomesha mtoto shule darasani wapo 100+mwalimu mmoja, atafaulu vipi!? Ha kuna mtoto, mzazi, anayesomesha mtoto feza, IST, nk anayekuja "kuombewa" Wanaokuja "kuombewa" Wanatoka mbagala,bunju nk!
Mchungaji wenu hqkupiga magoti akaomba, ndio akapata hotel ya, nyota tstu mbeya! Hotel imejwngwa taratibu!
Papa hajakosea chochote ila uelewa tuBikra maria anaponya watu wapi huko tuje?
Vipi baraka za Papa umezikubali?
Si anafanya matangazo yale mnaita ushuhuda, asipofanya hivyo nakuhakikishia wateja(waumini) watapungua.Kama kungekuwa hakuna impact yeyote inayopatikana watu wasingekuwa wanaenda kwake !!
Ile ndege ya wazee wa kigoma ipo kaweNiliomba kampuni yangu ipate kazi Sasa naona kazi zimenizidi sana aise, Kawe sio pamchezo hata kidogo
Waganga wa kienyeji daily wanadanganya watu, mara tembea na mtoto mdogo watu wanabaka hadi mabint zao, na matukio hayajawahi kuisha....impact ipi?Kama kungekuwa hakuna impact yeyote inayopatikana watu wasingekuwa wanaenda kwake !!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakatoliki wote wasomi hawahitaji masaa mengi kanisani kana kwamba ni slow learners
Wewe ndo una hasira na MwamposaNifike wap tena !! ? Punguza hasira , fanyeni kazi hakuna miujiza kwenye mafanikio , unatakiwa upambane haswa.
Nitakuwepo Mungu nisaidieBwana Yesu asifiwe,
Jumapili hii, Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu katika ibada ya kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,
Kunamtu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati tu unazaliwa watu wabaya wakafanya yao,
Watu hao wamekamatia siku yako yako ya kuzaliwa ndio maana wewe hukui kama wenzako.
Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,
Hukui kimichezo,
Hukui kiutajiri,
Hukui kiroho,
Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka " Siku imesisima"
Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa kimwili tu vingine vyote viko palepale havikui kabisa,
Njóo Apostle atafafanua vizuri zaidi kuhusu siku ya kuzaliwa na kwanini ameweka keki ya Upako,
Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako kisiasa au hali yako kiuchumi.
====
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.
#HUDUMA HII NI YA BURE KABISA
View attachment 2848928
Sio kwel bhna.Wewe ndo una hasira na Mwamposa
TWENDEZETU KAWE wachawi wameshatusumbua sana bingwaSio kwel bhna.
Hahaha ni fikra zako na umri wangu huu sijawahi shuhudia hayo mambo , ni hadithi za kusadikika tu.TWENDEZETU KAWE wachawi wameshatusumbua sana bingwa
Plz njoo Niko chini ya miguu yako utaonaHahaha ni fikra zako na umri wangu huu sijawahi shuhudia hayo mambo , ni hadithi za kusadikika tu.