Wewe unayesumbuliwa na nuksi, mikosi, mabalaa, Biashara, Umasikini, migogoro kwenye familia, kufeli masomo, michezo, njoo kwa Bulldozer Mwamposa

Wewe unayesumbuliwa na nuksi, mikosi, mabalaa, Biashara, Umasikini, migogoro kwenye familia, kufeli masomo, michezo, njoo kwa Bulldozer Mwamposa

Huyo Mnyaki kafanikiwa kuwaroga wanawake tu waliokosa waume.

Sidhani kama kuna mwanamume anayejielewa anaweza kwenda kwa huyo tapeli labda kama ameenda kuwinda wanawake na wadada wa kanisa lake

Kuna Jumanne moja jioni nilipita mitaa ya hapo ndio wanatoka kupata upako kuna kila aina ya pisi ila ni zile zilizoshindikana
Haya ni mawazo yako wewe mzinzi, ukiwaza ngono utafuata ngono, ukiwaza mafundisho ya neno la Mungu utafuata neno.
 
KUMEKUCHA KUMEKUCHA,MWENDO WA KUUZIWA MCHANGA KISHA YEYE AKAJENGE HOTELS MWANJELWA,AKILI TU BABUU,AKILIII...PIGA SPANA MWAMPOSA..!!
Usiwe mvivu wa kufatilia habari, wapi ulisikia Mwamposa kauza mchanga? Tv, redio ??? Au unakaa vijiwe vya bangi halafu unaleta habari hapa?
 
Sawa
Number Ya M~Pesa/Tigo,HaloPesa, Airtel Money
nimewiwa Kumtolea Mungu Kupitia Mtumishi
 
Bwana Yesu asifiwe,

Jumapili hii, Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu katika ibada ya kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,

Kunamtu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati tu unazaliwa watu wabaya wakafanya yao,

Watu hao wamekamatia siku yako yako ya kuzaliwa ndio maana wewe hukui kama wenzako.

Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,
Hukui kimichezo,
Hukui kiutajiri,
Hukui kiroho,


Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka " Siku imesisima"

Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa kimwili tu vingine vyote viko palepale havikui kabisa,

Njóo Apostle atafafanua vizuri zaidi kuhusu siku ya kuzaliwa na kwanini ameweka keki ya Upako,

Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako kisiasa au hali yako kiuchumi.

====
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.

#HUDUMA HII NI YA BURE KABISA


View attachment 2848928
Kawe kumenoga sana , twende zetu KAWE
 
Back
Top Bottom