Investigation Unit
JF-Expert Member
- Nov 26, 2023
- 216
- 301
Hawajui walitendalo ndio maana wanapiga keleleMimi pia nitaenda ili wale wanaonikashifu waumizwe vibaya sana 🙏🙏👍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajui walitendalo ndio maana wanapiga keleleMimi pia nitaenda ili wale wanaonikashifu waumizwe vibaya sana 🙏🙏👍
Bikra maria anaponya watu wapi huko tuje?Tapeli wa matapeli. Njoo I kwa bikra maria mtaponywa sanahuku
Njoo kanisa moja katoliki na la mitume. Huko kwingine unapoteza muda. Lini kanisa likawa la mtu? Mtapogwa sana wao wanazidi kujenga mahotel tu kwao mbeyaBikra maria anaponya watu wapi huko tuje?
Vipi baraka za Papa umezikubali?
Haya ni mawazo yako wewe mzinzi, ukiwaza ngono utafuata ngono, ukiwaza mafundisho ya neno la Mungu utafuata neno.Huyo Mnyaki kafanikiwa kuwaroga wanawake tu waliokosa waume.
Sidhani kama kuna mwanamume anayejielewa anaweza kwenda kwa huyo tapeli labda kama ameenda kuwinda wanawake na wadada wa kanisa lake
Kuna Jumanne moja jioni nilipita mitaa ya hapo ndio wanatoka kupata upako kuna kila aina ya pisi ila ni zile zilizoshindikana
Mradi sisi tunapata upako acha twende. Nawe unaeenda kwa bikra maria nawe nenda.Njoo kanisa moja katoliki na la mitume. Huko kwingine unapoteza muda. Lini kanisa likawa la mtu? Mtapogwa sana wao wanazidi kujenga mahotel tu kwao mbeya
Mnapata upako au mnaibiwaMradi sisi tunapata upako acha twende. Nawe unaeenda kwa bikra maria nawe nenda.
Hata Akina gigi money naskia wanasali huko halfau jioni wanaenda kujiuzaHaya ni mawazo yako wewe mzinzi, ukiwaza ngono utafuata ngono, ukiwaza mafundisho ya neno la Mungu utafuata neno.
Wanasoma Kwa bidii na kufuatilia Kwa karibu Kila topic ya somo,siyo kwamba maombi ya kawe ndio yamewabadilisha.Mimi watoto wangu hawakuwa vizuri darasani ila Sasa ni moto wa kuotea mbali
Daaah😅😅😅Umeandika usenge.
Usiwe mvivu wa kufatilia habari, wapi ulisikia Mwamposa kauza mchanga? Tv, redio ??? Au unakaa vijiwe vya bangi halafu unaleta habari hapa?KUMEKUCHA KUMEKUCHA,MWENDO WA KUUZIWA MCHANGA KISHA YEYE AKAJENGE HOTELS MWANJELWA,AKILI TU BABUU,AKILIII...PIGA SPANA MWAMPOSA..!!
Kwani lini ulisikia Mwamposa kafukuza muumini anayeenda pale? Hata wewe ukienda kufata malaya hawezi kujua wala kukufukuza.Hata Akina gigi money naskia wanasali huko halfau jioni wanaenda kujiuza
Hayaa mabadiliko chanya ndo yanatakiwa, kabla ya upako walikuwa hawana bidii sasa wana bidii.Wanasoma Kwa bidii na kufuatilia Kwa karibu Kila topic ya somo,siyo kwamba maombi ya kawe ndio yamewabadilisha.
Mbona papa mnataka awafuluze mashoga sasaKwani lini ulisikia Mwamposa kafukuza muumini anayeenda pale? Hata wewe ukienda kufata malaya hawezi kujua wala kukufukuza.
Majitu mengi ni majinga mpka yanakera.Umeandika usenge.
Kawe kumenoga sana , twende zetu KAWEBwana Yesu asifiwe,
Jumapili hii, Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu katika ibada ya kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,
Kunamtu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati tu unazaliwa watu wabaya wakafanya yao,
Watu hao wamekamatia siku yako yako ya kuzaliwa ndio maana wewe hukui kama wenzako.
Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,
Hukui kimichezo,
Hukui kiutajiri,
Hukui kiroho,
Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka " Siku imesisima"
Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa kimwili tu vingine vyote viko palepale havikui kabisa,
Njóo Apostle atafafanua vizuri zaidi kuhusu siku ya kuzaliwa na kwanini ameweka keki ya Upako,
Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako kisiasa au hali yako kiuchumi.
====
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.
#HUDUMA HII NI YA BURE KABISA
View attachment 2848928
Wewe ndio mjinga yaani watu kwa mamilioni wawe wajinga ila wewe mmoja ndio mjanja?Majitu mengi ni majinga mpka yanakera.
Mamilioni hawawez kuw wajinga ? Badala watu wafanye kazi wapate maendeleo mnahamasishana ujinga , nmesema hivyo kwa sababu naitambua njia ya maendeleo ya kweli ni kufanya kazi kwa akili basi na si vinginevyo .Wewe ndio mjinga yaani watu kwa mamilioni wawe wajinga ila wewe mmoja ndio mjanja?
hapa sijaelewa imekuwaje tena na mayele tuachane na tulia kwanza..?Kama nguvu za Tulia na Mayele ziko pale madhabahu ya Kawe Mimi ni nani nisiende?