Wewe unayesumbuliwa na nuksi, mikosi, mabalaa, Biashara, Umasikini, migogoro kwenye familia, kufeli masomo, michezo, njoo kwa Bulldozer Mwamposa

Wewe unayesumbuliwa na nuksi, mikosi, mabalaa, Biashara, Umasikini, migogoro kwenye familia, kufeli masomo, michezo, njoo kwa Bulldozer Mwamposa

Dunia ina watu aina mbili tu.

1.Wanaoamini katika Mungu wa kweli

2. Wasioamini katika Mungu wa kweli

Tangazo hili, linawahusu wenye kuamini hiko, na wewe usiyeamini, ukirofi wa nini? Matusi ya nini?

Waache waende wanaoamini na wewe nenda huko unakoamini! Shida yako ni ipi?
 
Bwana Yesu asifiwe,

Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,

Kunawatu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati unazaliwa,

Watu wamekamatia siku yako hukui,

Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,

Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka,

Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa mwili tu vingine vyote viko palepale,

Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako,

Amen,
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.

#HUDUMA HII NI BURE KABISA

View attachment 2848928
Kawe muhimu sana
 
Dunia ina watu aina mbili tu.

1.Wanaoamini katika Mungu wa kweli

2. Wasioamini katika Mungu wa kweli

Tangazo hili, linawahusu wenye kuamini hiko, na wewe usiyeamini, ukirofi wa nini? Matusi ya nini?

Waache waende wanaoamini na wewe nenda huko unakoamini! Shida yako ni ipi?
Sahihi kabisa,
Watu wa shetani wanapanic sana kwa tangazo hili,
 
Bwana Yesu asifiwe,

Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,

Kunawatu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati unazaliwa,

Watu wamekamatia siku yako hukui,

Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,

Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka,

Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa mwili tu vingine vyote viko palepale,

Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako,

Amen,
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.

#HUDUMA HII NI BURE KABISA

View attachment 2848928
Wajinga ndiyo waliwao.
 
Dunia ina watu aina mbili tu.

1.Wanaoamini katika Mungu wa kweli

2. Wasioamini katika Mungu wa kweli

Tangazo hili, linawahusu wenye kuamini hiko, na wewe usiyeamini, ukirofi wa nini? Matusi ya nini?

Waache waende wanaoamini na wewe nenda huko unakoamini! Shida yako ni ipi?
Tunafanya kama vile wenye dini wanavyojaribu kutuokoa sisi tusio na dini: wana wapotevu. Inaaminika tupo upande wa shetani (ambaye hayupo kama Mungu). Na sisi tunajaribu kuwavuta huku kwenye amani na uhuru kwa maisha ya duniani.

Tuzoeane tu, wakati wengine wanatangaza injili na sisi tunakuja kugongelea msumari hapohapo.
 
Huyo Mnyaki kafanikiwa kuwaroga wanawake tu waliokosa waume.

Sidhani kama kuna mwanamume anayejielewa anaweza kwenda kwa huyo tapeli labda kama ameenda kuwinda wanawake na wadada wa kanisa lake

Kuna Jumanne moja jioni nilipita mitaa ya hapo ndio wanatoka kupata upako kuna kila aina ya pisi ila ni zile zilizoshindikana
 
Bwana Yesu asifiwe,

Jumapili hii, Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu katika ibada ya kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,

Kunamtu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati tu unazaliwa watu wabaya wakafanya yao,

Watu hao wamekamatia siku yako yako ya kuzaliwa ndio maana wewe hukui kama wenzako.

Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,
Hukui kimichezo,
Hukui kiutajiri,
Hukui kiroho,


Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka " Siku imesisima"

Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa kimwili tu vingine vyote viko palepale havikui kabisa,

Njóo Apostle atafafanua vizuri zaidi,

Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako,

Amen,
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.

#HUDUMA HII NI BURE KABISA


View attachment 2848928
nenden mkalishwe mafuta ya albino na watoto wachanga
 
Huyo Mnyaki kafanikiwa kuwaroga wanawake tu waliokosa waume.

Sidhani kama kuna mwanamume anayejielewa anaweza kwenda kwa huyo tapeli labda kama ameenda kuwinda wanawake na wadada wa kanisa lake

Kuna Jumanne moja jioni nilipita mitaa ya hapo ndio wanatoka kupata upako kuna kila aina ya pisi ila ni zile zilizoshindikana
Daaah, kweli Kazi bado sana
 
Back
Top Bottom