Wewe unayesumbuliwa na nuksi, mikosi, mabalaa, Biashara, Umasikini, migogoro kwenye familia, kufeli masomo, michezo, njoo kwa Bulldozer Mwamposa

Wewe unayesumbuliwa na nuksi, mikosi, mabalaa, Biashara, Umasikini, migogoro kwenye familia, kufeli masomo, michezo, njoo kwa Bulldozer Mwamposa

Bwana Yesu asifiwe,

Jumapili hii, Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu katika ibada ya kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,

Kunamtu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati tu unazaliwa watu wabaya wakafanya yao,

Watu hao wamekamatia siku yako yako ya kuzaliwa ndio maana wewe hukui kama wenzako.

Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,
Hukui kimichezo,
Hukui kiutajiri,
Hukui kiroho,


Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka " Siku imesisima"

Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa kimwili tu vingine vyote viko palepale havikui kabisa,

Njóo Apostle atafafanua vizuri zaidi,

Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako,

Amen,
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.

#HUDUMA HII NI BURE KABISA


View attachment 2848928
Nchi hii mtaji wa majizi na mafisadi kama Mwamposa ni;

Wanawake,

Wajinga na

Wapumbavu.

Fanyeni kazi acheni uzezeta.
 
Wajinga mnapigwa kiboya sana.
Screenshot_20230505_075141_WhatsApp.jpg
 
Bwana Yesu asifiwe,

Jumapili hii, Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu katika ibada ya kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,

Kunamtu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati tu unazaliwa watu wabaya wakafanya yao,

Watu hao wamekamatia siku yako yako ya kuzaliwa ndio maana wewe hukui kama wenzako.

Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,
Hukui kimichezo,
Hukui kiutajiri,
Hukui kiroho,


Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka " Siku imesisima"

Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa kimwili tu vingine vyote viko palepale havikui kabisa,

Njóo Apostle atafafanua vizuri zaidi,

Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako,

Amen,
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.

#HUDUMA HII NI BURE KABISA


View attachment 2848928
TWENDEZETU KAWE
 
Pumzika ili j3 uanze wiki na nguvu.

Hizi dini mnapoteza muda tu. Hv ulishawahi kuona tajiri yyt mkubwa anapoteza muda wake huko.

Nyie masikini ndo wanawazolea hata hicho kdg mlicho nacho. Na biblia yenyewe inasema "mwenye nacho ataongezewa lkn asokua nacho atapokonywa hata hicho kdg kilichopo"
Kanisa halina hata katiba
 
1 Waraka wa yohana 4:1

Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

1 Yohana 4:1
 
Mathayo 24:24

Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule
 
Mathayo 24:24

Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule
 
Mathayo 24:24

Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule
 
Kwa jina la Yesu nitakuwa kwenye TV LIVE nikisali na kuomba juu ya mwanangu anayekuwa na michezo mingi kuliko masomo Yesu amkumbatie Amen!!
 
Kwa jina la Yesu nitakuwa kwenye TV LIVE nikisali na kuomba juu ya mwanangu anayekuwa na michezo mingi kuliko masomo Yesu amkumbatie Amen!!
Atapokea wewe andaa tu keki yako umpatie hapo hapo nyumbani kwa kujiungamanisha
 
Bwana Yesu asifiwe,

Jumapili hii, Mtumishi wa Mungu na mpakwa mafuta Apostle Bornface Mwamposa Bulldozer ataongoza maelfu katika ibada ya kula keki ya Upako hapa Kawe siku ya Jumapili,

Kunamtu ulilogwa tangu ukiwa tumboni mwamama yako au wakati tu unazaliwa watu wabaya wakafanya yao,

Watu hao wamekamatia siku yako yako ya kuzaliwa ndio maana wewe hukui kama wenzako.

Hukui kielimu,
Hukui kiuchumi,
Hukui kifikra,
Hukui kisiasa,
Hukui kiafya,
Hukui kimwili,
Hukui kimichezo,
Hukui kiutajiri,
Hukui kiroho,


Yaani siku yako haihesabiwa katika siku za wiki, Mwezi au Mwaka " Siku imesisima"

Kwalugha nyepesi wapekupiga "Pause" unakuwa kimwili tu vingine vyote viko palepale havikui kabisa,

Njóo Apostle atafafanua vizuri zaidi kuhusu siku ya kuzaliwa na kwanini ameweka keki ya Upako,

Karibu sana Ufunguliwe bila kujali dini Wala itikadi yako kisiasa au hali yako kiuchumi.

====
Naomba Mtume na Mimi unibarariki nimesaidia kutoa taarifa hii kwa Umma ili nijibiwe maombi yangu 12 kabla ya mwaka kuisha.

#HUDUMA HII NI YA BURE KABISA


View attachment 2848928
Namkubali sana huyu mtu Mungu ampe maisha marefu
 
Back
Top Bottom