Wewe unayesumbuliwa na nuksi, mikosi, mabalaa, Biashara, Umasikini, migogoro kwenye familia, kufeli masomo, michezo, njoo kwa Bulldozer Mwamposa

Mwamposa ni Wakili wa Mungu kihalali kabisa Mfuatilie kabla hujampinga
 
Mambo yote ulitotaja yanatatuliwa kwa kipato, ajira, mshahara! Sio maombi bro! Ulaya, USA, Malaysia, Vietnam, south Afrika, china, hazikujengwa kwa maombi! Muogopeni Mungu,
Akili, sayansi,ndio vinajenga nchi, na, wananchi!sio, maombi! Wenye matatizo yasioyotibika hospitsri sawa, Ila waumin wenu wengi ni maskini wa kipato! Hawana, pesa, za kutosha kula vzr, kusomesha vzr, sasa unamsomesha mtoto shule darasani wapo 100+mwalimu mmoja, atafaulu vipi!? Ha kuna mtoto, mzazi, anayesomesha mtoto feza, IST, nk anayekuja "kuombewa" Wanaokuja "kuombewa" Wanatoka mbagala,bunju nk!
Mchungaji wenu hqkupiga magoti akaomba, ndio akapata hotel ya, nyota tstu mbeya! Hotel imejwngwa taratibu!
 
Sasa masikini ndio wanapashwa kuombewa ili wawe Matajiri na wengi wao Hali zao zimebadilika sana
 
Kama kungekuwa hakuna impact yeyote inayopatikana watu wasingekuwa wanaenda kwake !!
Waganga wa kienyeji daily wanadanganya watu, mara tembea na mtoto mdogo watu wanabaka hadi mabint zao, na matukio hayajawahi kuisha....impact ipi?
 
Nitakuwepo Mungu nisaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…