Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Unaweza kujiuliza hili swali kama mimi na huenda usipate majibu yake.
Fikiria mtu upo unapambana ujikwamue kutoka kwenye umasikini, unafuga kuku, mbuzi; unajenga kabanda kako ka kujistiri na mvua, cha ajabu kuna mtu mwingine anawaza kuja kukuibia hata hicho kidogo ulichonacho!
Mwizi ni mwizi tu hata akiiba kuku wa mwenye uhitaji hapaswi kutetewa. Wezi ni watu wenye roho mbaya sana! Tena kwa wale wanaowaibia masikini wanapaswa kuongezewa adhabu!
Fikiria mtu upo unapambana ujikwamue kutoka kwenye umasikini, unafuga kuku, mbuzi; unajenga kabanda kako ka kujistiri na mvua, cha ajabu kuna mtu mwingine anawaza kuja kukuibia hata hicho kidogo ulichonacho!
Mwizi ni mwizi tu hata akiiba kuku wa mwenye uhitaji hapaswi kutetewa. Wezi ni watu wenye roho mbaya sana! Tena kwa wale wanaowaibia masikini wanapaswa kuongezewa adhabu!