Wezi waiba silaha ofisi za TAKUKURU

Ukiona wakwepa hivyo ujue wahusika ni wao
 
Wanachadema wa Tanga muwe makini wanataka wa kulibebesha zigo hilo.

Ukiweza mimbia kabisa Mkoa japo Mwaka usiwepo mtaani.
 
wahusika wakuu katika hili ni maafisa wa TAKUKURU.
Wezi walipata wapi sample za funguo
walijuaje silaha zinapokaa?
Haya mambo ya kulewa na kutoa siri za ofisini ni ushamba mtupu
 
Tukiwa jeshini ukipoteza silaha ilikuwa inakuwa shughuli kweli, hadi vyoo mtavunja na kukoroga kinyesi. Yaani kupoteza silaha ya serikali na kuweka uwezekano kwamba itaua raia ilikuwa ni dhambi ambayo tulipaswa kuielewa sana!

Sasa hawa Takukuru, wengi hawajapitia hata jeshini, wakifanyishwa hivyo silaha zao hazitaibiwa tena. Waambieni kuna tetesi hizo silaha zimefichwa vyoo vya Handeni mjini wakatafute
 
Silaha inapolala lazima kuwe na ulinzi ,centry ajile usiku kucha ,hii tabia ya kila idara kuitwa jeshi inakwenda kuigharimu nchi, Tfs jeshi, migration jeshi,Tanapa jeshi, takukuru jeshi, Konde bouy naye jeshi,tutafika tumechoka mno
Hii inaitwa inside job. Hivi Bujibuji Simba Nyamaume niko huku Itumbili Magu, nawezaje tu kuja huko kwenu nikaiba si
 
Tanga. Watu wasiojulikana wamevunja mlango wa ofisi ya Kamanda wa Takukuru wilayani Handeni na kuiba bastola mbili zilizokuwa na jumla ya risasi 21.[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…