Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Yaani umeibiwa Nini ambacho kitakwamisha shughuli zako na ni msaada Gani unataka?

Watanzania kujielezea bado ni shida kidogo. Pole sana lakini
 
Yaani umeibiwa Nini ambacho kitakwamisha shughuli zako na ni msaada Gani unataka?

Watanzania kujielezea bado ni shida kidogo. Pole sana lakini
Msaada naotaka ni wa kimawazo je nifanye nini na nianziw wapi ili niweze kupata vitu vyangu.

Kingine mpaka mda hu tayari nisharipoti polisi
 
Watu wana deal nawee, hadi useme aunt Dorry kapata wapi pesa za kukuanzishia biashara.

Unalo hili, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe coca kesho nakuja huko huko mpaka nikuoneshe
 
Bidhaa za electronic ikiwepo flat
Na vifaa vingine vidogo vidogo

Maeneo ya hapa mtaani ambako kuna fremu pia ndo kuna chumba nachoishi
(Kutaka location specific natuma pm)

Bado sijaanza kushuku exactly ila ni hawa hawa vijana naoshinda nao hapa mtaani maana wanajua A to Z ya movement zangu

Ghalama za vitu nilivyo ibiwa kwa kukadiria ni kama laki 5 na 80

Nipo peace na watu na vijana wa hapa hvyo sizani kama kuna sababu exactly ya wao kunifanyia hvi

Sijaripoti mpaka sasa maana sijui naanzia wapi wala sijui huko polisi naenda na vitu gani hii ndo mara ya kwanza

Nipo gongo la mboto
Poor Brian unoanekana ni wale vijana wachanga wadogowadogo..namana unavyoandika inanonesha

Umeonesha Rb ya polisi halafu unasema bado polisi hujaripoti halafu uende na Nini na nini

Location yako ni gomz biashara Iko hapo na ndio makazi yako then unaamwambia mtu utamtania pm😊

Kama ni kweli umeibiwa usisumbuke na polisi,kama gharama ni lkai 5 piga moyo konde,utazipata.tena maana polisi watatka pesa usaidiwe,hawatoki bure.sa utajikuta umemmaliza laki tatu kurejesha laki tano.na Ukute vingine vishauzwa.pole Kwa huu mtihani
Ukiweza hama hapo.vijana wengi wa maeneo ya uswahilini ni wezi
 
Poor Brian unoanekana ni wale vijana wachanga wadogowadogo..namana unavyoandika inanonesha

Umeonesha Rb ya polisi halafu unasema bado polisi hujaripoti halafu uende na Nini na nini

Location yako ni gomz biashara Iko hapo na ndio makazi yako then unaamwambia mtu utamtania pm😊

Kama ni kweli umeibiwa usisumbuke na polisi,kama gharama ni lkai 5 piga moyo konde,utazipata.tena maana polisi watatka pesa usaidiwe,hawatoki bure.sa utajikuta umemmaliza laki tatu kurejesha laki tano.na Ukute vingine vishauzwa.pole Kwa huu mtihani
Ukiweza hama hapo.vijana wengi wa maeneo ya uswahilini ni wezi
Aaaah mkuu ni kweli mi ni kijana mdogo mdogo japo namiliki mashangazi...

Kuhusu suala la rb na polisi zile ni updates ambazo nilikua natoa kila baada ya mda..

Yaani uzi ulikua unaendelea huku na mimi naenda polisi kufanya harakati.

Nilipopata rb nikatuma humu maana kuna watu walishaanza kusema chai.

Nachoshukuru mpaka sasa hakuna nilichopata ila kuna member humu yupo bega kwa bega na mimi hapa katika kunisaidia kufanikisha hili jambo..

Nitafanikisha vipi..? Hili ni swali hata mimi najiuliza ila naimani nitafanikiwa
 
Back
Top Bottom