Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Has wezi
Wakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..

Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr

Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.

Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..

Nimefanikiwa kutoa taarifa kituo cha polisi na nimepata RB View attachment 3223400
Siku hizi wana kadi za sisiemu ukiwapeleka polisi ni kupoteza muda wako bure ...kwani amjui kuwa polisi ni toilet paper ya sisiemu ....huku mtaani kwetu vibaka wote majambazi wote wapo ccm vijana...na wamama mataperi na malaya wote wamejiunga ccm ...hivyo unatakiwa kujua sababu.
 
Swali kwa wataalam

Je Tanzania kuna kampuni ya bima ambayo inaweza kukufidia endapo wezi wakiiba kwenye biashara yako? Au moto ukiunguza?
Naomba mtutajie majina ya kampuni na Gharama ya bima kulingana na thamani ya biashara
 
Back
Top Bottom