Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Has wezi
Siku hizi wana kadi za sisiemu ukiwapeleka polisi ni kupoteza muda wako bure ...kwani amjui kuwa polisi ni toilet paper ya sisiemu ....huku mtaani kwetu vibaka wote majambazi wote wapo ccm vijana...na wamama mataperi na malaya wote wamejiunga ccm ...hivyo unatakiwa kujua sababu.Wakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..
Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr
Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.
Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..
Nimefanikiwa kutoa taarifa kituo cha polisi na nimepata RB View attachment 3223400