Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Wee nyoko kweli..
Mi nimeibiwa ofisini kwangu wee unasema ishu za mishangazi kweli..

Kwanza mashangazi hawana msaada kwangu nimemwambia shangazi dory anasema analeta nyingine mpya hvo nitulie
Sasa si utulie, aunt Dorry analeta vitu vipya OG.
au humuamini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa si utulie, aunt Dorry analeta vitu vipya OG.
au humuamini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana namuamini ila sasa unajua mda ambao ataleta..
Inaweza ikapita hata week mbili
 
Maisha ya biashara ni changamoto Mimi mwenyewe natembea na RB baada ya kuibiwa na mfanyakazi(muuzaji) wangu, nilimpa kitanda na godoro na vitu vingine na nililipa Kodi Kwa miezi 6 lkn mwisho wa picha alikimbia huku akitia hasara kubwa
 
Back
Top Bottom