The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Mdau kachanganyikiwa muacheni, ila we jua tuu wamefunjaHilo neno "madamu" unamaanisha nini?Wamefunja?Au wamevunja?Andika kwa kutulia upewe miongozo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdau kachanganyikiwa muacheni, ila we jua tuu wamefunjaHilo neno "madamu" unamaanisha nini?Wamefunja?Au wamevunja?Andika kwa kutulia upewe miongozo.
Aiseee usiwaze Mlongo vane 😅😅😅Mlongo mie nipooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Afu huku kuni mic kuambatane na zawadi.
Poleee [emoji23][emoji23][emoji23]Sawa dDa
Ndiyoo ni Muongo huyo,Anafurahisha genge kumbe,[emoji3061]
Hayaa nasubiri zawadi ya Muamala hapa.Aiseee usiwaze Mlongo vane [emoji28][emoji28][emoji28]
KaoneshaRBNdiyoo ni Muongo huyo,
Nilitaka hivyo pia, huyu huwa ni Muongo sana, usimuamini.KaoneshaRB
🤚😐Nilitaka hivyo pia, huyu huwa ni Muongo sana, usimuamini.
Kwanza biashara sio yake, ni ya Mshangazi wake, yeye ni muuzaji tyuuh.
Hawezi bisha hapo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wamechuku niniWakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..
Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr
Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.
Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..
Nimefanikiwa kutoa taarifa kituo cha polisi na nimepata RB View attachment 3223400
Pole sana mkuu.
Ilitokea ishu kama yako kwangu mwaka jana, nasikitika kusema police hawakua na msaada. Hapo labda upate mtaalamu tu awanyooshe hao kenge.
Kweli polisi hawaga msaada wanataka tena na rushwa. Kuna siku nimekabwa na kuporwa simu na hela na hao vibaka nawajua naenda kuripoti polisi eti wananiambia hela ya bajaj nikatoa tukaenda mpaka masikani yao. Hatukuwakuta ukaacha ripoti waje kituoni.Naenda kuripoti maana ndio mamlaka ya ulinzi
Au ulitaka nende hospital
Wikiendi basi ukale lol pop na aisi kirimu 😃😃😃Hayaa nasubiri zawadi ya Muamala hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], afu serious ujue.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko nisubiri hadi wikendi?Wikiendi basi ukale lol pop na aisi kirimu [emoji2][emoji2][emoji2]
Alafu coca seriously nipo kwenye majozi wewe unanichekesha jamn daaahNilitaka hivyo pia, huyu huwa ni Muongo sana, usimuamini.
Kwanza biashara sio yake, ni ya Mshangazi wake, yeye ni muuzaji tyuuh.
Hawezi bisha hapo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Unabless ma nigga wi-fi kumbe wanathaminisha cha kuchukua dah, sasa itakuaje frem yetu ya kazi za DJ Mark?Daaah mkuu ujue hapa kuna watu huwa wanakuja mbali mbali na vijana huwa nawa bless mtandao hvo wanajazana wengi mno nina wasi wasi nao
Nimeweka taarifa juuWamechuku nini
Mshangazi wako kafulia au? Acha kulalama weyee.Alafu coca seriously nipo kwenye majozi wewe unanichekesha jamn daaah
We jamaa kazi naendelea nazo kama kawaida mkuuUnabless ma nigga wi-fi kumbe wanathaminisha cha kuchukua dah, sasa itakuaje frem yetu ya kazi za DJ Mark?
Pole mkuu
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko nisubiri hadi wikendi?
Huu mchezo!! Woiiiih
Wee nyoko kweli..Mshangazi wako kafulia au? Acha kulalama weyee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi, piga kazi mzee.. apo nje hua hakuna mlinzi?We jamaa kazi naendelea nazo kama kawaida mkuu