Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #121
SawaWee ni Muongoooo! Mxxieeew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaWee ni Muongoooo! Mxxieeew
Polisi unaenda kufanya nini?Wakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..
Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr
Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.
Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..
Mkuu nipo polisi hapa ndo naandikiwa lrbHata kama, ni muhim tena lazima aende polisi.
Maana hata akiwatunia watu anaowafaham kutafuta hivyo vitu, akivioata hatakua na nguvu ya kuvichukua wala kuwakamata bila RB
Mlongo mie nipooo [emoji23][emoji23][emoji23]Mlongo umemi misika vibaya mnooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulijificha wapi?
Ndiyo, wee ni Muongo. [emoji23][emoji23]Sawa
Kulikoni tena?🤣Wee ni Muongoooo! Mxxieeew
Kwani hela zina usingizi?Hela ulikuwa unalaza kwenye duka?
Nikupeleke kwa mganga wangu? (Joking)Wakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..
Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr
Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.
Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..
Fanya hivyo.Mkuu nipo polisi hapa ndo naandikiwa lrb
[emoji23][emoji23][emoji23] huyo Dogo ni Muongo.Kulikoni tena?[emoji1787]
Naenda kuripoti maana ndio mamlaka ya ulinziPolisi unaenda kufanya nini?
Sawa dDaNdiyo, wee ni Muongo. [emoji23][emoji23]
Na deal nao policically and spiritualityPole sana mkuu.
Ilitokea ishu kama yako kwangu mwaka jana, nasikitika kusema police hawakua na msaada. Hapo labda upate mtaalamu tu awanyooshe hao kenge.
Vishu takusakaWatu tunatafuta kazi za ulinzi kila siku tunapost humu ila mnatuona wehu.
Anafurahisha genge kumbe,🥴[emoji23][emoji23][emoji23] huyo Dogo ni Muongo.
Daah usimsikilze huyo..Anafurahisha genge kumbe,🥴