Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Wezi wamevunja fremu na kuiba, sijui naanza hatua gani hapa wakuu. Naombeni msaada wenu

Unaibiwa,unakuja kulia mtandaoni? Kwanza inatakiwa uwaambie majirani,kama mna jeshi la sungusungu basi waambie wakusanyie wajadili hali ya usalama eneo husika na mikakati ya kulinda,ukikaa kimya ipo sku utaibiwa tena alafu ukiwaambia watakuona wewe ndo mwenye makosa haukuwaambia tukio la awali. Pole sana. Wapi hapo mkuu?
 
pole sana

Ila kama hii ni chai, unawaharibia wananchi wengine in the future watakao kuja kutafuta ushauri na hata msaada hapa JF.

tukuchangie au tuwapigie simu polisi? Walozi?😂😂😂😂
mkulu unataka nn? Huruma?😢
 
Unaibiwa,unakuja kulia mtandaoni? Kwanza inatakiwa uwaambie majirani,kama mna jeshi la sungusungu basi waambie wakusanyie wajadili hali ya usalama eneo husika na mikakati ya kulinda,ukikaa kimya ipo sku utaibiwa tena alafu ukiwaambia watakuona wewe ndo mwenye makosa haukuwaambia tukio la awali. Pole sana. Wapi hapo mkuu?
Inatia huruma sana kwa mukijana mujasiriamali.
 
Wakuu naombeni muongozo je nichunguze kimya kimya au nende polisi au nifanyaje mana mpaka sasa sielewi
Nenda karipoti serikali ya mtaaa hapo ndio Utapewa muongozo wa kwenda polisi au Vipi?

Ofisi yako ipo mtaani sana au barabani?
Kama ni uswahilini Andika tangazo la kupiga mkwara mzito. Inatoa siku 3 mliovunja na kuiba mrudishe vitu mlivyo lasivyo itasomwa albadiri kali sana na tusilaumiane. Au nikupe msoma albadiri mdogo wangu?

Poor Brain
 
Nenda karipoti serikali ya mtaaa hapo ndio Utapewa muongozo wa kwenda polisi au Vipi?

Ofisi yako ipo mtaani sana au barabani?
Kama ni uswahilini Andika tangazo la kupiga mkwara mzito. Inatoa siku 3 mliovunja na kuiba mrudishe vitu mlivyo lasivyo itasomwa albadiri kali sana na tusilaumiane. Au nikupe msoma albadiri mdogo wangu?

Poor Brain
Kaka musaidie tyu.
 
Wakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..

Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr

Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.

Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..
Pole sana mkuu, toa tu taarifa polisi Kwa ajili ya ufwatiliaji
 
Nenda karipoti serikali ya mtaaa hapo ndio Utapewa muongozo wa kwenda polisi au Vipi?

Ofisi yako ipo mtaani sana au barabani?
Kama ni uswahilini Andika tangazo la kupiga mkwara mzito. Inatoa siku 3 mliovunja na kuiba mrudishe vitu mlivyo lasivyo itasomwa albadiri kali sana na tusilaumiane. Au nikupe msoma albadiri mdogo wangu?

Poor Brain
Kaka nipe...
Nakuja pm
 
Wakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..

Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr

Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.

Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..
Tuwaroge
 
Back
Top Bottom