Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #41
Samahani mkuu nimechanganyikiwa na hiyo picha yako hapo kwa IDUsirudie tena.Tumia neno "mkuu"!Utakuja kuita baba zako shangazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuu nimechanganyikiwa na hiyo picha yako hapo kwa IDUsirudie tena.Tumia neno "mkuu"!Utakuja kuita baba zako shangazi.
AsantePole kaka
Daaah sawa mkuuAngalia watu wa kujulisha kama mkeo, vingine jipambane mwenyewe watu mara nyingine hufurahia matatizo ya watu na hawana msaada
Mkuu acha kabisaMijitu mijizi inaudhi sana.Wamemrudisha huyu mkuu nyuma hadi amechanganyikiwa kabisa.
Sure,Angalia watu wa kujulisha kama mkeo, vingine jipambane mwenyewe watu mara nyingine hufurahia matatizo ya watu na hawana msaada
Yaah mkuu vijana kwa vijana na usikute ni hawa hawa ambao huwa nawapa access ya WiFi hapa mtaaniPole Sana Kijana , Vijana Kwa vijana wanarudishana Nyuma.
Kingereza kubwa kumbe ulinziPole sana, wakati nipo Bank kuna kitu tulikuwaga tunakifanya kinaitwa RCSA.
Uliifanya hii kitu mapema? Ku identify risk, controls, mitigants??? Kuna makosa umefanya ya ki ulinzi ndo maana watu wame take advantage
AsantePole sana kamanda
Nashauri kutoa taarifa polisi nimmuhimu sanaaa.Wakuu naombeni muongozo je nichunguze kimya kimya au nende polisi au nifanyaje mana mpaka sasa sielewi
Huyo jamaa ni mpuuzi,so na wewe mpuuzie mkuu.Daaah
Sawa mkuu..Nashauri kutoa taarifa polisi nimmuhimu sanaaa.
Kuna vitu vimeibiwa hapo vinaweza patikana sehemu nyingine ambayo inaweza kukutia matatani.
Polisi lazima uende
nchi 32!! Kweli kichwa cha moto tumpe poleFlat nchi 32?Unamaanisha nini hapo?
DooohPole ndo ukubwa huo ubongo ufanye kazi sasa
Daahnchi 32!! Kweli kichwa cha moto tumpe pole
Sawa mkuuHuyo jamaa ni mpuuzi,so na wewe mpuuzie mkuu.
Pole kwa matatizo