ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kwa jinsi maisha yanavyozidi kuwa magumu, kumeibuka kundi la wezu wengi wao wadogowadogo vitoto kabisa ambavyo vinaiba sana Pesa Na vitu vidogo kama simu.
Wanachofanya, wanajua nyumba nyingi za kupanga mida ya mchana hukuti watu wameenda kwenye mihangaiko yao. Unakuta nyumba mchana ipo kama Kanisa, kimyaa, aliyepo asiye na kazi amejifungia anacheki movies.
Wezi wanavunja mlango, wana-search, na kwa sababu watu wanaogopa makato makato kila utoapo hivyo wanaficha cash ndani; usipendelee kuweka pesa kwenye kabati au kitanda. Kwanza ni hatari, zikiliwa Na panya je?
Kama una kibunda chako hutaki kukiweka bank au kwenye simu basi bora uzimwage kwenye kapeti kwa chini humo wezi sio rahisi kunusa.
Wanachofanya, wanajua nyumba nyingi za kupanga mida ya mchana hukuti watu wameenda kwenye mihangaiko yao. Unakuta nyumba mchana ipo kama Kanisa, kimyaa, aliyepo asiye na kazi amejifungia anacheki movies.
Wezi wanavunja mlango, wana-search, na kwa sababu watu wanaogopa makato makato kila utoapo hivyo wanaficha cash ndani; usipendelee kuweka pesa kwenye kabati au kitanda. Kwanza ni hatari, zikiliwa Na panya je?
Kama una kibunda chako hutaki kukiweka bank au kwenye simu basi bora uzimwage kwenye kapeti kwa chini humo wezi sio rahisi kunusa.