What a U.S.$500 Million Agreement Means for Tanzanian Ports

Bunge limejaa wapumbavu watupu, wabunge wanatishwa na spika au maofisa wa serikali wanakunja mikia, kweli nimeamini unavuna unachopanda, wizi wa kura uliofanywa na CCM unaligharimu Taifa, hapa ndio faida ya upinzani tungeiona na kingefumuliwa kila kitu na ukweli wote kujulikana na tungeokoa Taifa, Richmond ilimfanya Lowasa ajiuzuru na sababu ilikuwa ni wapinzani na wabunge wenye akili ambao walishinda uchaguzi kwa haki sio haya ya kutanganzwa na mkurugenzi wa wilaya chini ya usalama wa Taifa, na hakuna hela ya bure hizo zitalipwa mara kumi kwa pesa ya walipa kodi
 
Ungekuwa ni Mbunge wa Upinzani au hata Luhaga Mpina Spika Tulia angetupa hoja yako kwamba hakuna kitu kinaitwa PD world kwenye document iliyowasilishwa na serikali.

Mnakumbuka alivyombana Halima?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kidogo kidogo mtawajua Wazanzibari, chuki yao na level yao ya rushwa hamna mfano dunia nzima.
Kizuri ni kuwa wana uhakika 100% Watanganyika ni mandondocha tu.
 
Lile siyo bunge ni zizi la nguruwe...hii nchi bila ya kutoa sadaka ya damu za mafisadi wakuu wanao sumbua sana basi hii roho chafu ya kukosa uzalendo itakita mizizi ..... kuna watu kama 84 tu damu zao ni muhimu sana kulitakasa taifa
 
Duรนuu SSH ana kazi sana ...clear huu upepo ..la sivyo 2025 ngumu sanaaa kuna maamuzi magumu yafanyike atupishe
 
Mwulize Samira
 
Unataka wapambe wa bandari tule ninj
 
Kuna watu wengine wana matumbo yasiyoshiba. Wanakula na kuvimbiwa halafu wanapuu hapohapo na kuendelea tena kula kwa hila na gilba ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ