What are random interesting facts about yourself?

What are random interesting facts about yourself?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka hadi nimelala chini
Cheka tu wakati this is serious problem.
Btw lilikua daraja la relini ambalo ukipita unapaona chini Kwakweli nilishindwa kuvuka. Au kuna madaraja ambayo pembeni hua wameweka njia ya kupita watembea kwa miguu yaani hua sipiti hiyo sehemu.

Sipandagi miti kabisa labda matawi yawe yanafika hadi chini!
 
Cheka tu wakati this is serious problem.
Btw lilikua daraja la relini ambalo ukipita unapaona chini Kwakweli nilishindwa kuvuka. Au kuna madaraja ambayo pembeni hua wameweka njia ya kupita watembea kwa miguu yaani hua sipiti hiyo sehemu.

Sipandagi miti kabisa labda matawi yawe yanafika hadi chini!
Pole my dear [emoji1787][emoji1787] kwa mazingira hayo hata mimi nisingeweza kuvuka
 
Huwa nafuatilia tabia ya mwanafunzi hadi mtaani na kwenye instagram[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mbona wanakoma. Vikao vya wazazi kila leo mpaka mtoto abadilike. Na nikiamua kula sahani moja na wewe nitaacha tuu endapo utabadilika.

Form 4 wa miaka kadhaa nyuma walinikatia jina.
Sikuwahi kulijua hadi siku ya mahafali yao. Wakati walimu wanaitwa mimi zamu yangu MC akanitaja jina langu, masomo ninayofundisha akamalizia kwa kusema "wengi wanamjua kama ...." Wanafunzi wakalitaja wote kwa pamoja. Nilicheka sana.

Sema wanafunzi wananipenda. Hadi wazazi wao wananipenda na simu wananipigia kunishitakia tabia za watoto wao na awards wameshanipa mbili.

hongera sana Hannah
 
Napenda sana kucheka na kutabasamu.
Sio shabiki wa mpira wala siasa japo nilitamani sana ningekua shabiki.
Ni ngumu sana kuchukia,lakin ukinekera nitakwambia ukweli ukichukia basi kesho yake nitacheka na wew kama hakuna kilichotokea.
Sio muongeaji kabisa,wala kuchangia jambo lolote ata kama nafahamu kwa watu sijawazoea.
Sipendi kumuona mtu akiteseka,akiwa katika shida lakn ndo sina uwezo wa kumsaidia kila mwenye shida ninae kutana nae.
Napendwa na watu sijajua hadi leo sababu ya muonekano au ukimya wangu.
Ninawashikaji wachache sana ambao wote hapna nilifahamiana nae chini ya miaka kumi.

Ndo nilivyo lakn nilitamani niwe mcheshi sana.

umepewa kibali na Mungu, hongera sana chief…….mimi pia kidogo.
 
Sina mda/ sijawai kaa nikammis ndugu au mazazi. Ata kama nikimtafta namtafta tu ili asije sema nimemtenga. Sijui kwann tu nipo hiv

Huwa nakubaliwa sana na Watoto yan ata kama simjui anaweza nichangamkia kama vile tunajuana mda mrefu na mm nikiona hvyo uwa nawachangamkia zaid ili wasijihis vibaya.

Watu wengi wanajua mm huwa sili sana kumbe mimi huwa napenda nikae nakula kila mda ila sio chakula cha kula kushiba.
 
Sina mda/ sijawai kaa nikammis ndugu au mazazi. Ata kama nikimtafta namtafta tu ili asije sema nimemtenga. Sijui kwann tu nipo hiv

Huwa nakubaliwa sana na Watoto yan ata kama simjui anaweza nichangamkia kama vile tunajuana mda mrefu na mm nikiona hvyo uwa nawachangamkia zaid ili wasijihis vibaya.

Watu wengi wanajua mm huwa sili sana kumbe mimi huwa napenda nikae nakula kila mda ila sio chakula cha kula kushiba.
tuko sawa kwene hilo la kwanza sema mi nna kingine Cha ziada sipendi kuongoza kwa kifupi sipendi kutumiwa Kama mfano ata Kama kitu nnakijua kiasi gani.... Mara nyingi najifelisha kwa makusudi
 
Sipendi na sitakuja kula miwa na mihogo...
Napenda kulia na kusoma nasoma kila kitu...
Cha ajabu wanaonijua wananibishia nikiwaambia vitu ninavyovipenda.
 
Nikitoka out na mpenz wangu sipendi kuona mwanamke mwingne kapendeza kumzidi mrembo wangu....

Hii ipo automatically kwangu... Nikivutiwa na aina flan ya mavazi or watch or style flan ya nywele, huwa najitahid mrembo wangu asikose hio kitu kabisa.

It's a crazy fact about myself
 
Naogopa maji ya Mto, bahari,... Yani ata Yale Madaraja yanayopita juu ya maji huwa sitazami chini napata kizungu zungu cha ajabu. Kuvuka tu Mto utanionea huruma. Sijajuaga kwanini hii Hali ninayo. Hii Hali kiasi kwamba imenipelekea nisiweze kufika sehemu inayoitwa bichi tangu nizaliwe.

Naogopa kuku jamani ata vifaranga siwez kuvishika, mende, panya.

Napenda kununua kitu chochote kile ambacho nimekipenda ata kama ni cha gharama, siwazii.

Sipendi kuonewa wala kuona mtu aonewa nitapambana.

Napenda zawadi, kununua na kuwapelekea watu ninaowapenda. Ata akiwa ni mwanaume wangu.
 
Back
Top Bottom