What are random interesting facts about yourself?

What are random interesting facts about yourself?

Huwa nafuatilia tabia ya mwanafunzi hadi mtaani na kwenye instagram[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mbona wanakoma. Vikao vya wazazi kila leo mpaka mtoto abadilike. Na nikiamua kula sahani moja na wewe nitaacha tuu endapo utabadilika.

Form 4 wa miaka kadhaa nyuma walinikatia jina.
Sikuwahi kulijua hadi siku ya mahafali yao. Wakati walimu wanaitwa mimi zamu yangu MC akanitaja jina langu, masomo ninayofundisha akamalizia kwa kusema "wengi wanamjua kama ...." Wanafunzi wakalitaja wote kwa pamoja. Nilicheka sana.

Sema wanafunzi wananipenda. Hadi wazazi wao wananipenda na simu wananipigia kunishitakia tabia za watoto wao na awards wameshanipa mbili.
unafaa sana kila shule ingepata mwalimu mmoja tu kama wewe hakika watoto wetu wangebadilika kwakiasi kikubwa
 
Ni mtunzaji mzuri wa siri, zangu mwenyewe na za watu wengine hivyo ukiniambia jambo kisha ukalikuta mtaani hebu kumbuka vizuri...hukuniambia mimi peke yangu
Aisee uko kama Mimi, na watu wa aina hii tunaaminika sana.
 
Napenda sana mamba (crocodiles). Swimming with crocs ndiyo hobby yangu
 
Napenda sana kucheka na kutabasamu.
Sio shabiki wa mpira wala siasa japo nilitamani sana ningekua shabiki.
Ni ngumu sana kuchukia,lakin ukinekera nitakwambia ukweli ukichukia basi kesho yake nitacheka na wew kama hakuna kilichotokea.
Sio muongeaji kabisa,wala kuchangia jambo lolote ata kama nafahamu kwa watu sijawazoea.
Sipendi kumuona mtu akiteseka,akiwa katika shida lakn ndo sina uwezo wa kumsaidia kila mwenye shida ninae kutana nae.
Napendwa na watu sijajua hadi leo sababu ya muonekano au ukimya wangu.
Ninawashikaji wachache sana ambao wote hapna nilifahamiana nae chini ya miaka kumi.

Ndo nilivyo lakn nilitamani niwe mcheshi sana.
 
1) asilimia kubwa ya marafiki zangu walianza kwa kunichukulia kama funy guy, ila tulivyokaa karibu zaidi walibadili mtazamo wao na kuniona kama mtu wanaeweza kumtegemea katika ushauri wa masuala yao yanayowasibu, hii ni kutokana na uwezo niliopewa na mungu wa kutatua matatizo na kupendekeza lipi suluhisho muafaka kulingana na aina ya mtu na jambo linalo msibu.

2)mahusiano yangu yote yaliyodumu nime date na wanawake wanaonizidi angalau miaka 3 kwenda juu, na kila nnapo nnapo break up ex wangu anaolewa, sijui hii kitalamu imekaaje.

3) napendwa sana na watoto wadogo (chini ya miaka 2) wanaponiona hasa wale ambao tulishakuwa na moment pamoja huonyesha sura za furaha kiasi cha kuonyesha shauku ya kunifuata mahali nilipo. hii imekua ikinitokea katika maisha yangu kila mahali ninapoenda

4) kipindi nasoma kila mwalimu aliyemtaka msichana niliyekuwa nae kwenye mahusiano, alikua anaishia pabaya. advance mwalimu alifukuzwa, na chuo aliishia kuaibika katika kikao cha idara na nikamaliza salama kabisa
 
Napenda sana harufu ya maziwa ya mama anaenyonyesha. Hua napenda kupakata au kuinua watoto wachanga ili tu nisikie ile harufu ya maziwa ya mama.
 
Mimi sasa ndo balaa....

Sina rafiki sababu kubwa ni uwezo wangu wa kujua hisia za mwingine plus nimesoma vitabu vingi (1000+)kiasi kwamba najua kutofautisha fake people na really.

Sina rafiki sababu wote nimewakopa wamepotezea kunilipa,nkijaribu kumzoea mtu ananikopa hanilipi si mdai urafiki unakufa saivi sizoei mtu sababu nimestuka. More than 7 million ipo kwa marafiki zangu ambayo saivi sio marafiki tena ni watu wakupiga nao story tu.

Nina depression sometimes sababu najua vitu vingi sana kupita uwezo wangu wa kuvibeba na nafeel almost kila kitu.

Nahitaji mda wakukaa mwenyewe na siwezi kukaa na mtu yeyote duniani kwa mda mrefu.Nikitoka sehemu zenye kelele lazima nikae mwenyewe kwa mda.

Nina roho nzuri sana ingawa na improve kdg kuwa na roho mbaya.


Sipendi kelele na kila nachokisikiliza lzm nikipende kwanza,hivyo radio sisikilizi unless mada naipenda au mziki naupenda.

Siwezi kuwa mnafiki hivyo siwezi kujikomba kwa maboss.

Naongeaga ukweli ht pasipostahili hivyo kuna watu wananipemda sana kuna watu wananichukia sana

Napenda comedy movies sana bila hizo napata shida kubalance mood changes zangu

Na huruma sana ila na hasira za karibu kama Mtu hanielewi au ana mdharau mwingine

I can’t handle stress bahati mbaya sana nipo kama sponchi navyonza hisia za wengine haraka sana ziwe mbaya ziwe nzuri.


Namjua mtu kiundani sana kipaji chake ,uwezo wake ,udhaifu wake mda mchache sana nikiwa nae karibu.

Na uwezo wa kupiga story na mtu yeyote bila kujali status yake kwa kiwango kile kile cha heshima,mada nyingi nazijua hivyo sikosagi cha kuongea na mtu.

Shy kidogo,very spiritual but sipendi kwenda kanisani naona kama kupoteza mda hivi ila naamini nalindwa na nguvu kubwa sana ya kiMungu

MapenZi ya kugandana siyawezi naogopa sana mahusiano,napenda kulala mwenyewe,Nikiwa mwenyewe nakuwa na furaha zaidi ingawa najichanganya sana sometimes.

Napenda sana kucheka

Sina rafiki but i am friend material [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]

Uwaga nahisi sijaumbwa kuwa dunia hii huku kama nimepachikwa Tu.

Uwaga nahisi nimebarikiwa ila sijui hasa nimebarikiwa na nini ila najua nimebarikiwa sana kupita wengine.
 
Mimi sasa ndo balaa....

Sina rafiki sababu kubwa ni uwezo wangu wa kujua hisia za mwingine plus nimesoma vitabu vingi (1000+)kiasi kwamba najua kutofautisha fake people na really.

Sina rafiki sababu wote nimewakopa wamepotezea kunilipa,nkijaribu kumzoea mtu ananikopa hanilipi si mdai urafiki unakufa saivi sizoei mtu sababu nimestuka. More than 7 million ipo kwa marafiki zangu ambayo saivi sio marafiki tena ni watu wakupiga nao story tu.

Nina depression sometimes sababu najua vitu vingi sana kupita uwezo wangu wa kuvibeba na nafeel almost kila kitu.

Nahitaji mda wakukaa mwenyewe na siwezi kukaa na mtu yeyote duniani kwa mda mrefu.Nikitoka sehemu zenye kelele lazima nikae mwenyewe kwa mda.

Nina roho nzuri sana ingawa na improve kdg kuwa na roho mbaya.


Sipendi kelele na kila nachokisikiliza lzm nikipende kwanza,hivyo radio sisikilizi unless mada naipenda au mziki naupenda.

Siwezi kuwa mnafiki hivyo siwezi kujikomba kwa maboss.

Naongeaga ukweli ht pasipostahili hivyo kuna watu wananipemda sana kuna watu wananichukia sana

Napenda comedy movies sana bila hizo napata shida kubalance mood changes zangu

Na huruma sana ila na hasira za karibu kama Mtu hanielewi au ana mdharau mwingine

I can’t handle stress bahati mbaya sana nipo kama sponchi navyonza hisia za wengine haraka sana ziwe mbaya ziwe nzuri.


Namjua mtu kiundani sana kipaji chake ,uwezo wake ,udhaifu wake mda mchache sana nikiwa nae karibu.

Na uwezo wa kupiga story na mtu yeyote bila kujali status yake kwa kiwango kile kile cha heshima,mada nyingi nazijua hivyo sikosagi cha kuongea na mtu.

Shy kidogo,very spiritual but sipendi kwenda kanisani naona kama kupoteza mda hivi ila naamini nalindwa na nguvu kubwa sana ya kiMungu

MapenZi ya kugandana siyawezi naogopa sana mahusiano,napenda kulala mwenyewe,Nikiwa mwenyewe nakuwa na furaha zaidi ingawa najichanganya sana sometimes.

Napenda sana kucheka

Sina rafiki but i am friend material [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]

Uwaga nahisi sijaumbwa kuwa dunia hii huku kama nimepachikwa Tu.

Uwaga nahisi nimebarikiwa ila sijui hasa nimebarikiwa na nini ila najua nimebarikiwa sana kupita wengine.

Utakuwa Sagittarius nadhani...
 
*nikinunua nguo mpya kabla cjaivaa nikapishana na mtu kavaa ya aina hiyo hiyo naichukia pia kuna uwezekano nisiivae kabsa,
 
Naogopa sana ajali aisee yani ajali ikitokea sehemu sitamani ata kuendelea kukaa hapo, nitasogea endapo msaada unitajika sana,

Kwenda na simu chooni ni udhaifu wangu mkubwa, yan ata kama simu iko wapi ntaitafuta ilimradi nikifika chooni niperuz [emoji16][emoji16]napenda tu yan ,

Ni mgumu sana kuzoeana na watu wapya na tukizoeana na mtu bas nakuwa nimependa mimi,na huwa sipendi mazoea yavuke mipaka,

Kwa mtu ambaye hanifahamu, ni ngumu sana kujua me ni mtu wa aina gani kwa mda mfupi , napenda kujiweka ivo,

Napenda kujifunza vitu vipya na vingi kila siku, na huwa sichagui cha kujifunza ilimadi tu kiwe positive.


Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
 
Hi.

Karibuni tuelezane mambo (facts) mbali mbali kutuhusu sisi, ambazo sio kila mtu anazijua.

Mimi naanza.

1. I am a Coma survivor. Nilipata ajali ya gari na nikaa coma kwa muda wa wiki mbili. Sikumbuki kitu chochote kuhusu hizo wiki mbili.

2. I am a landlord. Hii ni nyumba yangu ya juhudi zangu. Wapangaji wangu wananiheshimu sana. Niliona mmoja kanisave MAMA MWENYE NYUMBA nilijihisi natembea mawinguni.

3. Sijawahi kula chipsi mayai au mayai tangu nimezaliwa.

Karibuni.

i have vertigo


sipendi kelele


sipendi uchafu


………………………..
 
Back
Top Bottom