Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Ukisach google kuna link za un utazionaDo you have a good link to this?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisach google kuna link za un utazionaDo you have a good link to this?
Tunaishi kwenye uso wa dunia au nje ya dunia kwa anaeelewa gograf ataelewaIsije kuwa ni picha za kutengenezwa na kompyuta tu...
Tatizo lako ni uelewa tunaposema nje ya dunia inamaanisha tunaishi kwenye uso wa dunia ndani ya dunia ni ndani ya hii ardhi ambayo ina crust ,core na nini tena nimesahauAhsante kwa kunikumbusha hii tahadhari,ningependa kuoneshwa picha zilizopigwa na hao walioenda huko na si za kutengenezwa.
Suala la mtu kusema ameenda nje ya dunia sijawahi kulikubali(nna sababu zangu za msingi) ingawa kwa wengine inawezekana labda.kwahiyo ili tu nielewe hilo nahitaji ushahidi unaoonekana.
muwe mna prove wrong hizo mnazoziita conspiracy theories[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Hiyo namba 9 imenikumbusha conspiracy theory moja ya ajabu sana inayodai kuwa Angela Merkel ni mtoto wa Adolf Hitler.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi sio kwamba ni beliefs Don?
CIA's cyber attack on USSR's computer systems that caused explosion of the Siberia oil pipeline in 1981
Nimesoma yote na nimeelewa mantiki yako uliyotaka kutushirikisha.
Ahsante kwa bandiko hili.
Ika tujue kuna video moja Bill Gate alikua anaelezea juu ya mpango wake na wenzake kutengeneza virusi vya aina fln na mwishowe akauliza, are we ready for next pandemic?
Watu watabisha ila sibishani.
Mambo mengine kuyaamini inabidi ukubali kuwa punguwani
Sijasema yapi
Don't quote me
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi hizi kabisa. Watu wana conspiracy theories nyingi sana mpaka zinawafanya uwezo wao wa kufikiri. Ukitaka kuamini hili kariri huu Uzi kama tukabahatika kuishi miaka michache ijayo utakuja hivi hivi kitakachobadilika ni jina tu ila maelezo yatabakia exactly the same
Nahic alisema vitu vile kwenye ile video kwa sababu yeye anadeal sana na mambo ya afya na aliona weakness kwenye sector hiyo ya afya .maana alitolea ufafanuzi akasema ebola imeipiga dunia na imeweza kudhibitiwa kutokana na ebola kuonyesha dalili mapema lakin akagusia kusema kwamba ukitokea ugonjwa ambao hauonyeshi dalili mapema itakuwa balaa.
So mm naona kwa sababu yeye anadeal na mambo hayo sana labda aliona ni vizur kuchukua tahadhar mapema.ni sawa na mkulima akikwambia "kwa hizi mvua zinazonyesha maharage hayatatoka mwaka huu" hallaf useme anashirikiana na lucifer
I stand to be corrected
Si sungura wala Fisi mwenye uwezo wa kuongeaProve kwamba hakuna Sungura aliyekuwa anaongea na fisi.